Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
Huyu Saed Ramovic hana tofauti na aliyekuwa kocha wa Simba Benchika, alipokuja alikuwa anaponda wachezaji na ligi yetu. Mwisho wa siku akaamua kuondoka na akawachukua wale wachezaji aliokuwa anaponda.
In short hana uwezo anajificha kwenye kichaka cha ligi.
In short hana uwezo anajificha kwenye kichaka cha ligi.