Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
π ππͺπππ’ π¬π π π§π¨ π¬ππππ¦πππ ππͺπ
Almost tunamaliza mwaka chini ya Robertinho lakini mpaka sasa hatuna identify ya mpira tunao utaka, hatuna kikosi cha kwanza na wala hatuchezi vizuri.
Msimu ulio pita nilidhani labda ni sababu ya ufinyu wa kikosi alicho nacho. Ila sasa ameletewa wachezaji wapya lakini almost wachezaji wote wanashindwa ku-perform chini yake.
Sijui kwenu ila binafsi uvumilivu umeanza kunishinda naona kama ni kocha average ambaye ameshindwa kwenda na mahitaji ya Simba.
Tunataka kocha sahihi ambaye atarudisha identity ya mpira wa Simba [emoji36]
NB. Hapa sim-attack kocha ila naongea reality.
#NguvuMoja [emoji837][emoji836]οΈ
Sent using Jamii Forums mobile app
Almost tunamaliza mwaka chini ya Robertinho lakini mpaka sasa hatuna identify ya mpira tunao utaka, hatuna kikosi cha kwanza na wala hatuchezi vizuri.
Msimu ulio pita nilidhani labda ni sababu ya ufinyu wa kikosi alicho nacho. Ila sasa ameletewa wachezaji wapya lakini almost wachezaji wote wanashindwa ku-perform chini yake.
Sijui kwenu ila binafsi uvumilivu umeanza kunishinda naona kama ni kocha average ambaye ameshindwa kwenda na mahitaji ya Simba.
Tunataka kocha sahihi ambaye atarudisha identity ya mpira wa Simba [emoji36]
NB. Hapa sim-attack kocha ila naongea reality.
#NguvuMoja [emoji837][emoji836]οΈ
Sent using Jamii Forums mobile app