Kocha wetu hana uwezo wa kufundisha Simba

Naomba ni kuulize,sikushambulii kwakuwa mimi yanga.Wakati wa usajili kwa namna yeyote haukuuponda usajili wa wanachii?.Kama sio basi vyema,jua nyota imetuwakia wananchi.Kwa sasa 🦁 mko kwenye hatua ya kujijenga kwani mlibweteka na mafanikio ya kipindi cha karibuni, hivyo kuwa mpole kwa muda wakati mkijijenga upya.
 
wanasajili wachezaji airport
For me challenge is analysing an opponent see who fit with opponent and applying it,Kanute alitakiwa kuingia wkt simba anaongoza ili kubreak opponent attack means unahitaji kuzuia zaidi ilakm unatafuta matokeo simtu sahihi means kocha hawakufanya analysis vzr
 
Unaheshimu vipi maoni yakiutopolo yaliyojaa ufala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…