Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Umewaza kama Mimi.Kwa mtazamo wangu tunahitaji namba 9 wa magoli ya uhakika ila kwengine kote pako vizuri.
Ukizingatia tuna viungo wenye ubora wa kila aina, kwenye wing pako poa assist kama zote.Umewaza kama Mimi.
Tunahitaji mshambuliaji wa kueleweka. Konkon na Musonda wanapelea.Hasa kwenye angle ipi?
Haja fit Kwenye mfumo wa Gamondi , mfumo unataka wachezaji wepesi wenye kujua kukimbiza na foot work nzuri aina ya max , Pacome , skudu , Yao nkKonkon bado hajaingia kwenye mfumo
Tunampa muda au tunamuachaaa?Haja fit Kwenye mfumo wa Gamondi , mfumo unataka wachezaji wepesi wenye kujua kukimbiza na foot work nzuri aina ya max , Pacome , skudu , Yao nk
Hakuna muda Tena , timu ipo Kwenye hatua muhimu , no room for mistakesTunampa muda au tunamuachaaa?
Itachukua muda gani kuingia kwenye mfumoKonkon bado hajaingia kwenye mfumo
Naunga mkono hoja“Tunakwenda kushindana kwenye hatua ya makundi, kama kweli tunahitaji kumaliza vizuri tunahitaji nyongeza kidogo ya Wachezaji, sifahamu kama inawezekana kwa klabu kwasasa ila kupambana na timu kubwa tunahitaji maboresho kidogo”
- Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamo
View attachment 2768365
Ushauri mzuriMATATIZO ya yanga ni kwenye eneo la
1. Kiungo WA CHINI.
Eneo la Bangala.
Aucho ARUDI kwenye No 8
2. TATIZO LINGINE ni Eneo la ushambuliaji.
Konkon0.0.0
Mzinze 2/10.
Ngushi 0.0.000
KENEDY. 2/10