Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
“Tunakwenda kushindana kwenye hatua ya makundi, kama kweli tunahitaji kumaliza vizuri tunahitaji nyongeza kidogo ya Wachezaji, sifahamu kama inawezekana kwa klabu kwasasa ila kupambana na timu kubwa tunahitaji maboresho kidogo”
- Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamo
- Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamo