Kocha: yanga ni miongoni mwa timu 4 za kuogopwa afrika kwa sasa

Kocha: yanga ni miongoni mwa timu 4 za kuogopwa afrika kwa sasa

Pamoja na kuwa Mimi ninaipenda Simba.

Yanga kwa sasa Wanatimu nzuri mno.
Huu Mwaka WA Tatu Timu Yao INAZIDI kuwa IMARA KILA SIKU .
NA WANAZIDI KUTIMIA.

Sababu
1. VIONGOZI wazuri wenye Maoni UBUNIFU akili na maarifa Mwenyekiti Herse Said makamu CEO nk.

2. Timu nzuri kuanzia Wachezaji wazuri.
Wametimia Kila IDARA.

3. Benchi Bora la UFUNDI Coach na Scauti Bora ya Yanga.

VIOGOZI WA Yanga ni wasikivu na wanasikiliza maoni.


UPANDE WA PILI NI MABISHI NA YANASAJILI MAWINGA 10 KWENYE TIMU MOJA.
we jamaa hii pwenti yako ta mawinga inanichekeshaga sana
 
Pamoja na kuwa Mimi ninaipenda Simba.

Yanga kwa sasa Wanatimu nzuri mno.
Huu Mwaka WA Tatu Timu Yao INAZIDI kuwa IMARA KILA SIKU .
NA WANAZIDI KUTIMIA.

Sababu
1. VIONGOZI wazuri wenye Maoni UBUNIFU akili na maarifa Mwenyekiti Herse Said makamu CEO nk.

2. Timu nzuri kuanzia Wachezaji wazuri.
Wametimia Kila IDARA.

3. Benchi Bora la UFUNDI Coach na Scauti Bora ya Yanga.

VIOGOZI WA Yanga ni wasikivu na wanasikiliza maoni.


UPANDE WA PILI NI MABISHI NA YANASAJILI MAWINGA 10 KWENYE TIMU MOJA.
Soma post no.14 , Yanga ina mabeki 8 simba pia ina mabeki 8, sasa wewe umekazana kusema simba ina mabeki wachache imejaza mawinga. Mbona yanga ina idadi hiyo hiyo ya Mabeki? Idadi ya mabeki simba sio tatizo bali tatizo ni wengine kutotumika. Akina Bacca , Job, Kibwana waliaminiwa na Nabi ndio mpaka sasa hivi wanaaminiwa.
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Tangu Ushauri wako utupwe kapuni umekuwa hasi sana kwa Simba..kumbuka ukishauri sio lazima Ushauri wako ukubaliwe.
Pamoja na kuwa Mimi ninaipenda Simba.

Yanga kwa sasa Wanatimu nzuri mno.
Huu Mwaka WA Tatu Timu Yao INAZIDI kuwa IMARA KILA SIKU .
NA WANAZIDI KUTIMIA.

Sababu
1. VIONGOZI wazuri wenye Maoni UBUNIFU akili na maarifa Mwenyekiti Herse Said makamu CEO nk.

2. Timu nzuri kuanzia Wachezaji wazuri.
Wametimia Kila IDARA.

3. Benchi Bora la UFUNDI Coach na Scauti Bora ya Yanga.

VIOGOZI WA Yanga ni wasikivu na wanasikiliza maoni.


UPANDE WA PILI NI MABISHI NA YANASAJILI MAWINGA 10 KWENYE TIMU MOJA.
 
Back
Top Bottom