Kocha Yanga: Nimeletewa wachezaji ambao sikuwataka

Nimesajiliwa baadhi ya wachezaji ambao sikuwataka mfano Makambo. Walisema wanamleta makambo atakuwa na Ajibu walicheza pamoja lakini niliona mtandaoni huyo Ajibu nae amesalia katika club yake ya Simba sasa sijui itakuwaje...
Mkisema "su" .... Yanga wanapinga usajili wa Mhilu TFF/CAS.
 
Nimesajiliwa baadhi ya wachezaji ambao sikuwataka mfano Makambo. Walisema wanamleta makambo atakuwa na Ajibu walicheza pamoja lakini niliona mtandaoni huyo Ajibu nae amesalia katika club yake ya Simba sasa sijui itakuwaje...
“Mo alitaka tubadilishe log tuweke sura yake nikakataa” manala
 
What goes around comes around ..jiandae kisaikolojia siku ya wananchi na Luis Miquisson
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…