Una maanisha Didier huyu wa Simba🤣🤣🤣Wajina wa drogba ndo ana maisha mafupi kama nzi[emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji16]Una maanisha Didier huyu wa Simba[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilimsahau uyuLwandamina.
Ushindi upi unazungumzia maana kuna aina nyingi za ushindi labda unazungumzia wa kucheza bao pale jangwani na kuutoa mwiko nyumaNawaza tu kama Mudi ataendelea kweli kuwa mvumilivu wakati timu yake ikiendelea kujikongoja, huku wapinzani wake wakiendeleza wimbi la ushindi kwa 100%
Maana asipochukua hatua mapema, kuna kila dalili ya kuendelea kubakia nafasi ya tano mpaka mwishoni mwa msimu.
Ole Gunnar anastahili kufukuzwa mapema.Ole Gunnar
Ronald Koeman
Ivi Nsajigwa leseni yake masomo alimalizaNsajigwa Anainyemelea nafasi ya Nabi pale yanga....
Ivi Azam wanatatizo gani Mana kweli kila kitu wanacho.Lwandamina.
Ila bwana Etienne Ndayiragije nae ni pasua kichwa.Naona wengi mnasema gomez kwani ana matokeo mabaya?
Kocha wa geita na kmc ndio wa kwanza kufurushwa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nabi
Ila Ole Gunnar amepewa timu kubwa huku uwezo wake ni mdogo.Ole Gunnar
Ronald Koeman