Mourinho aliichukua Inter ikiwa ya kawaida kawaida japo ilikuwa moto, moto alokuja kuuweka pale ilikuwa ni hatari, kiasi kwamba wachezaji wanaonza first eleven hawana tofauti kubwa na wale waliopo benchi.Pep amekuta Man city ina muda mchache chini ya miaka 2 toka ichukue ubingwa wa ligi(2014 chini ya Pellegrini City alikuwa bingwa).
Pia ameikuta timu iko top 4 ya Epl almost kwa misimu kadhaa mfululizo.
Njoo sasa kwa Morinho, huyu mwamba aliikuta Chelsea ni timu inayocheza isishuke daraja, pia timu ilikuwa na miaka 54 mara ya mwisho tangu ichukue ubingwa lakini msimu wake wa kwanza akamaliza nafasi ya 2 Epl, msimu uliofuata akawa bingwa wa Epl huku akiweka rekodi ya kufungwa goli 15 pekee na cleansheet 24.
Hakuishia hapo msimu uliofuata alibeba tena ndoo ya Epl mbele ya makocha vigogo Fergie, Rafa Benitez na Wenger.
Kwa mazingira hayo hiyo kazi anaiweza The special one pekee.
N.b
2002 Morinho alichukua Ueropa akiwa na kikosi cha kawaida cha Fc Porto
2003 Morinho alichukua Uefa akiwa na kikosi cha kawaida cha Fc Porto wakati Pep ameshindwa kupata ubingwa wowote wa Ulaya akiwa na timu bora ya Bayern Munich, pia amepambana muda mrefu kuchukua Uefa akiwa na City licha ya kuwa na kila kitu.
Morinho ndiye kocha PEKEE Ulaya ambaye amechukua vikombe vyote kwa ngazi ya klabu, kikombe cha mwisho amechukua mwaka jana akiwa na As Roma cha Uefa conference league.
Kwa hoja hizo HAKUNA kama Morinho.
Hao wengine iliwachukua muda mrefu kutoboa japo walikuwa na kila kitu.
Sidhani kama itatoa Inter Milan bora kama ile, haikuwa na superstar yoyote yule ila jamaa akaendesha timu ikawa ya moto haswa.
Alikuja Spain, akabadili kabisa utawala wa Barca pale Spain.