Kocha yupi kati ya hawa alikuvutia zaidi katika EPL?

Mourinho aliichukua Inter ikiwa ya kawaida kawaida japo ilikuwa moto, moto alokuja kuuweka pale ilikuwa ni hatari, kiasi kwamba wachezaji wanaonza first eleven hawana tofauti kubwa na wale waliopo benchi.

Sidhani kama itatoa Inter Milan bora kama ile, haikuwa na superstar yoyote yule ila jamaa akaendesha timu ikawa ya moto haswa.

Alikuja Spain, akabadili kabisa utawala wa Barca pale Spain.
 
Pep sio mwalimu,wapenzi wa soka plz tofautisheni mwalimu na Technician..Mchezaji gani alietoka kwenye mikono ya pep akaenda na moto uleule? Achana na messi aliemkuta akiwa na moto wake

Hawa kina f.torres,zincheko,Sterling,G.jesus,cancelo
Nafkiri pep amekuwa overrated sana.
 
Naichukia nyumbu,siipendi asheno...ila kiukweli HAWA makocha Fergie na Wenger walikuwa ni makocha haswaaa...hawa wengine ni wahuni TU,walitembelea na wanatembelea nyota za wamiliki za kuwa na pesa za usajili...

YNWA
Ofkoz Wenger na Sir Alex hawana mpinzani EPL kwa rekod za miaka iliyopita. Jamaa wamepika haswa na watu wakapikika.
 
Pep Guardiola.
 
Kuchukua muda mrefu kutimiza malengo na kuchukua mda mfupi kutimiza malengo ....unaona hio ni hoja kweli ...

Huyo morhno ni outdated manager ,Kwa Sasa hana uwezo wowote wa ku buttle na kina pep ...

Pep anajiamin na anabadilika kulingana na muda ,kiufupi pep hajakalili ni innovative by nature...anabadilika kulingana na mazingira..

Hao kina mo wamekalili mipira za kizamani mpaka sasa haajiliki na timu yeyote kubwa ,huyo mo Kwa mpira wa Sasa uliojaa makocha watata kama Carlo ,klopp hawezi chukua CL hata apewe madrid ..

Mo ni mtu wa kukalili mambo ,hataki kubadilika ,mbinu za mwaka 90 Bado anazitumia Karne hii ya modern football ,kiufupi kashapitwa na wakati ndio maana mpaka Sasa kashatimuliwa team kubwa spurs ,united ,...zote kashidwa kushine ...

Pep is above all fu**cking Coacher mentioned above ....pep is another level ....
 
Kama pep hakutumia nguvu kuitransform city niambie ni kocha gani anaweza watumia kina akanji ,ake ,lapoter stone ,dias [emoji23] kuifungua real Madrid ,buyern munich ,kutawala soka ulaya na kuwin treble ....

ifike hatua muelewe pep ni master ,anatumia average player kuzinyoosha timu kubwa balani ulaya ...

Mfano akanji ,ake ,stone ..nje ya man city unahisi wanaweza kuonesha ule uwezo wanaoonesha ? ,,,System ya pep ndio imewafanya kuwa monster mzee ,angalia sterling alipo saizi ,sio yule sterling wa Chelsea [emoji23]...

Hakuna kocha yeyote anaweza kuifikisha man city pep alipoifikisha ,...

Kuna wajinga et Kwa kikosi cha man city kocha yeyote anaweza ,pumbavu Sana ,wewe unaweza watumia kina ake ,stone ,foden ,akanji ,kupiga team kubwa balani ulaya kama huna mbinu na system ya kimpira iliyonyooka ....maana Hao wote sio kwamba Wana individual brilliant kubwa no ,it's just pep system...

ifike hatua mjue pep = man city ,no any fuc**king cocher can train that average city player to be monster as they are ....,only pep transformed them ...
 
Naichukia nyumbu,siipendi asheno...ila kiukweli HAWA makocha Fergie na Wenger walikuwa ni makocha haswaaa...hawa wengine ni wahuni TU,walitembelea na wanatembelea nyota za wamiliki za kuwa na pesa za usajili...

YNWA
Wewe ni mpumbavu ,fuatilia kipindi hicho klub iliyokuwa na matumizi makubwa ya pesa ilikuwa ipi ....

Hio man UTD ikisema ichunguzwe kipind cha mwaka 1990 kwenye mafanikio yake ni vile hio FFP imeanzishwa 2008 ,walikuwa wahuni, wanamatumizi mkubwa ya pesa mno ,walikuwa wanatumia pesa vibaya mno ,walikuwa walitaka mchezaji Kwa namna yeyote wanampata Kwa gharama yeyote ,mishahara ilikuwa mikubwa wanalipwa ...

Kwa vile access ya kupata taarifa ilikuwa ngumu tofauti na Sasa kila kitu kipo wazi huwezi jua ....


Mambo ya kusema hakutumia pesa ni upumbavu kiwango cha juu [emoji23][emoji23][emoji23]hakuna club iliyofanikiwa bila kuwekaza pesa ...

Hata huyo klopp anajitamba sijui "I can't spend 80m for player" Leo anameza matapishi yake Kwa kununua kina Nunez ,vvd Kwa bei za kufuru [emoji23]....


Hakuna club sijui bahili , Liverpool,united ,Chelsea ,arsenal wote wanaspend money kama kawaida,Tena pesa nyingi tu ...ujinga wa kujificha et pesa ,sijui team flani inatumia pesa ni matumizi mabaya ya akili,taja team ambayo haitumii pesa na inafanya vzuri ...

Wewe ukipewa hata billion 20 unaweza tengeneza team shindani kama kichwani ni kilaza ? [emoji23]...

Money is not everything .....huyo morhno Kwa zile mbinu zake za kizamani ,na kuganda Kwa akili yake hataki kubadilika hata apewe billion 10 hawezi chukua CL kwa hii modern football yenye tactical Coacher Kama pep ,klopp , Carlo ....
 
Julio
Pep Mnene.
 
Man city kabla ya pep ilikuwa na mataji mangapi na after pep ina mataji mangapi ?

Pep ameifanya EPL iwe farmers league.. kila msimu bingwa yeye tu
Akafundishe Watford ichukue makombe, baada ya Man City kununuliwa na Waarabu ndio timu imekuwa na jeuri ya pesa ya kununua kila mchezaji wanayemtaka. Hata akiondoka Pep, bado Man City ataendelea kubeba vikombe.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Spesho wani alikua balaa


Ilifikia kipind nilitaman apewe mgodi wa kiwira iwe mali yake kwa shart aifundishe stars


Mechi ya inter dhidi ya barca alidifens kuanzia dakika ya nne ilikua balaa


Mechi na Chelsea dhidi ya inter aliahid yey atakua kocha wa timu zote mbili mwishowe alionyesha umwamba kwa kuwadunda nje ndan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…