Huko hakuondoka kwa sababu ya kuharibu cv mkuu. Aliondoka kwa sababu alikua anatakiwa na vilabu vingne. Wakat anatoka porto alikua anatakiwa chelsea na wakat anatoka inter alikua anatakiwa madrid. Huyu ameondok madrid sio kwa sababu anatakiwa na timu nyingne ila kaamua tu.HAUKUNIELEWA VIZURI MKUU, SIJAMLINGANISHA MOURINHO NA ZIDANE, MOURINHO ALIPOTWAA EUFA PORTO & INTER ALIONDOKA MAPEMA KABLA YA KUCHAFUA CV.
We jamaa akili yako itakuwa na matatizo si bure, Liver inaonekana inakuwasha sana..!!Zidane alitumwa kuwabaka liverpool na kimdomo domo chao, kishamaliza kazi aliotumwa
Madrid imeahinda vikombe 13 jumla vya ucl, yeye kaionhoza kushinda 3, tumia magazijuto hapa.
We jamaa akili yako itakuwa na matatizo si bure, Liver inaonekana inakuwasha sana..!!
Barca hii siku Messi asipocheza inafungwa? Barca ukimtoa messi hakuna timutimu hamna mule wazee kibao inahitajika rotation ya kufa mtu ili madrid iwe moto misimu ya mbeleni hapo
amini nakuambia ufalme unarudi barca tena maana wao washafanya rotation na kikosi chao kipo standard kwa sasa
Sitaki hata kuandika mengi anaboa mno, hakuna hata points anazoandika ni upuuzi mtupu yani yeye kang'ang'ana na Liverpool tu utafikiri ilimlawiti..!!!Mkuu Huyo Jamaa Mimi Ninawasiwasi Nae Kuwa Ni Mwanamke lakini Kajifanya Kuwa na ID ya Kiume.
Cuz Haiwezekani Mwanamme Kupenda Mipasho Kiasi Hicho! Mipasho Wanayofanya Ni Wanawake Kama Yeye na Si Wanaume.
Jamaa Yeye Halikomment Chochote isipokuwa Liitaje Liverpool popote pale utapoliona yaani linataka Kiki lionekane bonge la Hater Hapa JF Wakati Watu Wanamchora tu Anavyopaparika na nonsense Zake Kwani Yeye Ni New Comer tu Hapa JF kajiunga Juzi kama Nilivyojiunga mimi kwahiyo Hawezi Gonga vichwa vya Wakongwe Wa JF Kwa Pumba zake Zisizo na tija.