luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Simuelewi kabisa huyu kocha na falsafa zake za kuwaweka benchi wachezaji kama Nyoni, Kennedy Juma, John Bocco ...ha2a ni wachezaji ambao hawajacheza mchezo wowote mpaka sasa nilitaraji angewatumia ktk mechi izi za Sudan ila ajabu hakuna mabadiliko.
Ni wazi nimeona dalili za kocha huyu kutokufikisha popote chama la wana Lunyasi
Ni wazi nimeona dalili za kocha huyu kutokufikisha popote chama la wana Lunyasi