Kocha Zoran ampa onyo Kali John Bocco

Acha Ramli chonganishi..chanzo cha taarifa yako?
Hakuna siri Duniani hapa mkuu, Simba Ni taasisi kubwa mno, so, mambo madogomadogo ya viwango vya wachezaji na kufungashiwa vilago lazima yafahamike hata kabla ya kuwekwa hewani, ndyo maana ya sources za media zilizoko huko Egypt
 
Mshambuliaji hatari Kibu Denis akiripoti kambini mapema, atasawazisha hayo makosa yote ya washambuliaji wenzake.
Bila Shaka huyu naye angekuwepo kule kambi washabiki wake wangeshililia moyo
 
Hii taarifa ni uongo 100%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…