OLS
JF-Expert Member
- Oct 12, 2019
- 426
- 685
Kimsingi nilikuwa nasubiri tafsiri ya Online Data services, na sasa bill ya Finance Act 2024 imetoa tafsiri ya kitu hicho ambacho bajeti ya 2024/25 ilipendekeza kumegwa kodi
Kwa tafsiri iliyotolewa ni kama platforms zote zinazochukua data za wanaotembelea platforms hizo watalipa kodi hiyo. Platforms zinazochukua data ni pamoja na Google, Yahoo, Meta, Facebook nk nawaza kama ndicho haswa kilichomaanishwa kwa sheria hii.
Hata hivyo, serikali itajuaje kuhusu data za watu wake ambazo zimetumika kibiashara, na kama zimetumika zimetumika mara ngapi kwa interval ipi na zimeuzwa kwa sh ngapi?
Naendelea kuangalia Finance Act 2024
Kwa tafsiri iliyotolewa ni kama platforms zote zinazochukua data za wanaotembelea platforms hizo watalipa kodi hiyo. Platforms zinazochukua data ni pamoja na Google, Yahoo, Meta, Facebook nk nawaza kama ndicho haswa kilichomaanishwa kwa sheria hii.
Hata hivyo, serikali itajuaje kuhusu data za watu wake ambazo zimetumika kibiashara, na kama zimetumika zimetumika mara ngapi kwa interval ipi na zimeuzwa kwa sh ngapi?
Naendelea kuangalia Finance Act 2024