Full Blood Picture
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 2,223
- 3,961
Nawasalimu kwa salamu ya mama.
Pamoja na nia nzuri ya kugharamia afya ila kiukweli kodi kwenye huduma za Simu ikiwemo miamala ya fedha siungi mkono inalenga kutuumiza.
Mbona kuna vyanzo vingi hasa kwenye Vinywaji laini na vikali, kodi kwenye wapangishaji wa nyumba kubishana nk?
Hapo mheshimiwa Waziri umetuumiza.
Duu hatarihalotel bwana yani ukiweka buku wamepunguza 200 ,sasa na hii ya serekali si ndo hatari
Nawasalimu kwa salamu ya mama.
Pamoja na nia nzuri ya kugharamia afya ila kiukweli kodi kwenye huduma za Simu ikiwemo miamala ya fedha siungi mkono inalenga kutuumiza.
Mbona kuna vyanzo vingi hasa kwenye Vinywaji laini na vikali, kodi kwenye wapangishaji wa nyumba kubishana nk?
Hapo mheshimiwa Waziri umetuumiza.
Wewe ulitaka serikali itoe wapi pesa hasa ya kugharamia miradi ya barabara,afya na elimu?Bajeti Zanzibar hakuna kodi hata moja iliyoongezeka.
Huku kwetu shamba la bibi!
Mamburula yanayojifanya kila bajeti ikisomwa - "ni bajeti ya kumkomboa mwananchi," ni mzigo sana kwa nchi hii.
Kodi za sim cards, Bando hadi miamala? Ila wabunge na watawala kodi stahiki haziwahusu?
Wajameni, uhalali uko wapi?
Yapo mengi ambayo tungeweza kuyashinikiza vinginevyo na yakasimama.
Wewe ulitaka serikali itoe wapi pesa hasa ya kugharamia miradi ya barabara,afya na elimu?
Mimi nachoona kodi imekuwa kubwa ingepunguzwa kidogo afu waongeze kwenye bidhaa na huduma zinazosomeka kama luxury goods
Mahitaji ya huduma tajwa hapo juu upande wa Zenji ni kidogo kuliko huku Bara"Kwamba serikali itoke wapi pesa za kugharimia ..."
Angalizo la msingi lilikuwa kodi Zenji hakuna moja imeongezwa huko serikali inatoa wapi pesa za kugharimia hayo?
Angalizo la pili kwetu wabunge na watawala hawalipi kodi stahiki kwa uhalali upi?
Serikali imeonyesha wapi kuwa kuna gharama zake zipi zisizokuwa za msingi itazipunguza?
Au yale yale ya kuzawadiana ma benzi ya 450m+ na majumba ya maBn/- + at our cost?
Miradi mikubwa iliyopo tusiyokuwa na uwezo nayo kihivyo ilipaswa kusimama au hata kutafutiwa mikono kama ina tija. Vinginevyo huyu ng'ombe mkamuliwa maziwa hata damu inayotoka itakata!
Mahitaji ya huduma tajwa hapo juu upande wa Zenji ni kidogo kuliko huku Bara
Hili ni tatizo kwa Waziri wa feza na raisi kwani hawezi kubuni mbinu za kuvutia mitaji kutoka nchi tajiri? na anafikiria kuongoza kodi kwenye sim, wale bibi kule vijijini wanaweka buku kwa mwezi unawaumiza, mtu mmoja anahudumia simu mpaka 10, kwani pesa anayopokea ndio anatuma kwa wazazi kijijini, anatoa kwa watoto 4 wako vyuo , kuna sim nyumbani, mke, nk, hii ni kumfilisi huyu mtu mmoja.Nawasalimu kwa salamu ya mama.
Pamoja na nia nzuri ya kugharamia afya ila kiukweli kodi kwenye huduma za Simu ikiwemo miamala ya fedha siungi mkono inalenga kutuumiza.
Mbona kuna vyanzo vingi hasa kwenye Vinywaji laini na vikali, kodi kwenye wapangishaji wa nyumba kubishana nk?
Hapo mheshimiwa Waziri umetuumiza.