Kodi na Tozo nyingi kwa Nchi kama Tanzania ni kipimo tosha kuwa viongozi waliopo hawatufai

Kodi na Tozo nyingi kwa Nchi kama Tanzania ni kipimo tosha kuwa viongozi waliopo hawatufai

RNA

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
1,647
Reaction score
2,803
Habari JF , Hivi unamkamuaje wananchi kwa Tozo na kodi lukuki katika Nchi ambayo ina Eneo kubwa la kilimo na Uwekezaji, Madini ya kila aina, Gesi, Vivutio vya Utalii vingi na vitu vingi ambavyo serikali ingetumia kuingizia Mapato?

Ni kwamba viongozi tulionao uwezo wao umeishia kwenye Tozo?

Kwa namna hali ya pesa tunazokamuliwa nlitegemea kwa hii miaka miwili ya Awamu ya sita kuwe na Maendeleo makubwa yanayoonekana lakini hakuna tofauti na awamu nyingine kasi ni ile ile ikiwa ina maana pesa zinapotea tu.
 
Habari JF , Hivi unamkamuaje wananchi kwa Tozo na kodi lukuki katika Nchi ambayo ina Eneo kubwa la kilimo na Uwekezaji ,Madini ya kila aina ,Gesi ,Vivutio vya Utalii vingi na vitu vingi ambavyo serikali ingetumia kuingizia Mapato ?

Ni kwamba viongozi tulionao uwezo wao umeishia kwenye Tozo ?

Kwa namna hali ya pesa tunazokamuliwa nlitegemea kwa hii miaka miwili ya Awamu ya sita kuwe na Maendeleo makubwa yanayoonekana lakini hakuna tofauti na awamu nyingine kasi ni ile ile ikiwa ina maana pesa zinapotea tu .
Gombea wewe unaefaa Ili tukuchague.
 
Habari JF , Hivi unamkamuaje wananchi kwa Tozo na kodi lukuki katika Nchi ambayo ina Eneo kubwa la kilimo na Uwekezaji ,Madini ya kila aina ,Gesi ,Vivutio vya Utalii vingi na vitu vingi ambavyo serikali ingetumia kuingizia Mapato ?

Ni kwamba viongozi tulionao uwezo wao umeishia kwenye Tozo ?

Kwa namna hali ya pesa tunazokamuliwa nlitegemea kwa hii miaka miwili ya Awamu ya sita kuwe na Maendeleo makubwa yanayoonekana lakini hakuna tofauti na awamu nyingine kasi ni ile ile ikiwa ina maana pesa zinapotea tu .
Kazi ipo!
 
Habari JF , Hivi unamkamuaje wananchi kwa Tozo na kodi lukuki katika Nchi ambayo ina Eneo kubwa la kilimo na Uwekezaji ,Madini ya kila aina ,Gesi ,Vivutio vya Utalii vingi na vitu vingi ambavyo serikali ingetumia kuingizia Mapato ?

Ni kwamba viongozi tulionao uwezo wao umeishia kwenye Tozo ?

Kwa namna hali ya pesa tunazokamuliwa nlitegemea kwa hii miaka miwili ya Awamu ya sita kuwe na Maendeleo makubwa yanayoonekana lakini hakuna tofauti na awamu nyingine kasi ni ile ile ikiwa ina maana pesa zinapotea tu .
Nimeangalia bank statement yangu hivi punde, hiyo government levy iliyokatwa ni pesa yangu ya matumizi wiki nzima, mwigulu anatuumiza.
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Kwa hizo tozo mtu ulitegemea labda serikali ingetengeneza processing zone kule Tanga kwa ajili ya matunda kiwanda cha maana vitu vikazalishwa na kuwa exported. Mbona Bhakressa ana export bidhaa zake kwenye ma nchi kibao Africa humu humu.

Ina maana waziri wa viwanda anashindwa kulifikiria hilo kwa mapana na kuandaa proposal watu wakatengeneza processing zone Tanga. Tatizo la viongozi Tanzania ni kufanyia kazi mshahara tu. Alimradi ana cheo na mshahara anachofanya ni kuzurura na kudandia matukio tu.

Lakini kwa kuwa tuna viongozi wapuuzi. Hamna ubunifu zaidi. Tozo na mikopo yote inaaishia kujenga matofali tu 😂😂😂😂😂
 
Habari JF , Hivi unamkamuaje wananchi kwa Tozo na kodi lukuki katika Nchi ambayo ina Eneo kubwa la kilimo na Uwekezaji ,Madini ya kila aina ,Gesi ,Vivutio vya Utalii vingi na vitu vingi ambavyo serikali ingetumia kuingizia Mapato ?

Ni kwamba viongozi tulionao uwezo wao umeishia kwenye Tozo ?

Kwa namna hali ya pesa tunazokamuliwa nlitegemea kwa hii miaka miwili ya Awamu ya sita kuwe na Maendeleo makubwa yanayoonekana lakini hakuna tofauti na awamu nyingine kasi ni ile ile ikiwa ina maana pesa zinapotea tu .
Mama yetu Rais Samia amuweke Dkt Ashatu pale Fedha, amuondoe Nape na Makamba, hii nchi itatulia. Na Aache kutoa vyeo kwa kulipa fadhila autumie ushauri wa Vetting vizuri. Ni kama Prof Ndalichako alivyoharibu elimu kipindi cha Dkt Magufuli
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Kwani wewe huyaoni maendeleo katika uongozi wa mh Rais mama Samia suluhu Hassani, mnapokuwaga mnasifia na kutokea mifano nchi za ulaya namna zilivyopiga hatua kimaendeleo mnazani walifika hapo kimiujiza?

Kwa Taarifa yako ni kuwa walifika hapo kwa maumivu na kujifunga mkanda, njia ya kuyafikia maendeleo siyo nyepesi na ya mkato, lazima tutoe jasho na kupitia maumivu wakati tunatengeneza kesho yetu iliyo Bora zaidi.

Kodi na Tozo hutaki ulipe halafu kesho unaanza kulialia kuwa huoni maendeleo, Sasa unataka Nani alete maendeleo hayo Kama tusipojichangisha wenyewe kidogo kidogo kutoka katika vipato vyetu unazani Nani abebe mzigo wetu Kama tusipojitwisha wenyewe
 
Somebody go listen to these songs.
ROMA- tanzania
-mr president
-2030
-Viva Roma

Kala jeremiah- ready to die
-

Nakaya- Politician

Wagosi (nadhani) keki ya taifa
Unaweza ukapata hasira ukachana chana nguo, ukapasua pasua na simu.
 
Round hii hadi watoto wadogo wanajua kwamba viongozi walioko madarakani ni WAPUUZI
 
Hii yote ni kwa kuwa mpiga kura haamui yupi awe kiongozi, laiti kura ingekuwa na nguvu ya kuamua Haki ya nani tungewanyoosha.
Lakini bahati mbaya tutaishia kubweka bweka kama mbwa koko hatuna la kufanya
 
Mama yetu Rais Samia amuweke Dkt Ashatu pale Fedha, amuondoe Nape na Makamba, hii nchi itatulia. Na Aache kutoa vyeo kwa kulipa fadhila autumie ushauri wa Vetting vizuri. Ni kama Prof Ndalichako alivyoharibu elimu kipindi cha Dkt Magufuli
Dr Ashatu ndio yupi tena ?
 
Back
Top Bottom