Kodi na Tozo zinazowaumiza Watanzania: Tumekosea wapi ili tutubu?

Makadirio ilikua billion 120 kwa mwezi na mwezi huu wamekusanya bilioni 48. Maana yake Watanzania wengi wamegoma.
Watu wanakatwa pesa zao huku wanalia haijawahi kuwa BARAKA hata siku Moja.
Watu wamekosa plan B tu ila wangekimbia hizi Huduma.
 
Wanaacha kuwakaba wakampuni makubwa yanayomiliki Migodi ya Madini wanakuja kulia na Tabaka la kati simply hatuna sauti na ukipaza sauti unaishia kupakaziwa Uwongo mwingi
 
Hamia dini ya Budhist, kisha uombe uzaliwe upya ukiwa Kenya
 
The bottom line ipo kwenye matumizi ya anasa ya vigogo wa serikali, kuanzia magari ya kifahari yanayokunywa mafuta kama jini, safari na vikao visivyo na kichwa wala miguu inakuwa ni mwendo wa kulipana posho tu, kutumia mabilioni kugharamia bunge lisilo na tija ambalo kazi yake ni kugonga gonga meza kwa kila hoja inayotolewa na serikali, upigaji wa kufuru kwa watendaji waliokaa kwenye chaneli, kama ripoti za CAG zinavyoendelea kuibua uozo........kwa hiyo sahau kuhusu tozo kupungua maana hawa ni kama viwavi hawashibi.
 
Serikali iliyopatikana kwa njia haramu haiwezi kuwa na jema kwa wananchi. Wanajua hamkuwachagua, lazima mkomeshwe mshike adabu. Msije mkaleta tena choko za kudai haki ya kuchagua mnayemtaka.

Nchi inanyooshwa, wananchi mnanyooshwa, ili msiwasumbue watawala.
 
Hata magufuri aliongea hivi watanzania ninakosa gani litakalosabisha nisipate kula
 
Kazi iendelee tu....

 
Harafu TRA hawathamini mchango wa walipa kodi huko kwingine Jan tunapata ujumbe wa kushukuru kwa kulipa kodi mwaka jana Tanzania January TRA wameanza na tangazo la kamata kamata Nchi nzima😂😂😂 unaona kabisa watu wa namna hiyo hawana mapenzi na si wazalendo na Nchi yao...wao ni kuanzisha figisu na Wananchi kila kukicha..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…