MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,104
- 6,827
Kodi ndio Mfumo upo duniani kote Lakini ushuru na tozo ni kwa mpangilio na makubaliano kati mwananchi na serikali ila kama hakuna makubaliano ni sawa na unyang'anyi hakuna tofauti na kibaka,kodi ndio inatambulika duniani ila siyo tozo na ushuru ,
ukiwa na wabunge wenye emotion wanaamua vitu vingi vyenye mtafaruku kama tozo, mfano muamala ukifanyika kuna charges ile charges serikali itakwenda kuchukua kodi kwenye kampuni husika ,unapochukua tena tozo ni uporaji kama hakuna makubaliano.
ukiwa na wabunge wenye emotion wanaamua vitu vingi vyenye mtafaruku kama tozo, mfano muamala ukifanyika kuna charges ile charges serikali itakwenda kuchukua kodi kwenye kampuni husika ,unapochukua tena tozo ni uporaji kama hakuna makubaliano.