Kodi ya ardhi hulipiwa Halmashauri au Wizara ya Ardhi?

Kodi ya ardhi hulipiwa Halmashauri au Wizara ya Ardhi?

Broxine

Member
Joined
Dec 23, 2016
Posts
29
Reaction score
20
Wakuu naomba mnijuze kuhusu hizi kodi za ardhi zinalipiwa wapi kwa sasa maana nikiingia kwenye website ya WIZARA Wana mfumo wa kulipia na huko HALMASHAURI wana utaratibu wao?
 
Wakuu naomba mnijuze kuhusu hizi kodi za ardhi zinalipiwa wapi kwa sasa maana nikiingia kwenye website ya WIZARA Wana mfumo wa kulipia na huko HALMASHAURI wana utaratibu wao?
Halmashauri wanakupigia hesabu unaenda kulipa bank na zinaingia kwenye Akaunti ya wizara.
 
Asante sana
Samahani hulipii ofisi ya ardhi, unalipia benki kati ya crdb au nmb pia unaweza kulipa kwa kutumia simu yako ya mkononi. Ila hiyo namba ya malipo (ref number) inatolewa ofisi ya ardhi ya sehemu husika.

Fika ofisini ukiwa na plot number ya kiwanja chako na jina la mmiliki wa hicho kiwanja. Wao watakupigia hesabu na kukupa karatasi yenye maelekezo yote na ni sh ngapi unatakiwa kulipa

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom