Kazanazo
JF-Expert Member
- Aug 16, 2023
- 2,582
- 4,554
Wenye nyumba hii mada imewapanikisha very sorry mimi ni mchangiaji tu kama nyie siwezi miliki hata kibanda umizaSawa, tuishie hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye nyumba hii mada imewapanikisha very sorry mimi ni mchangiaji tu kama nyie siwezi miliki hata kibanda umizaSawa, tuishie hapa.
Hapo itakuwa mbuzi kafia kwa muuza supuKama frem ni yangu inakuwaje hapo?
Ngoja waje wajuziHapo itakuwa mbuzi kafia kwa muuza supu
We mzee. Nimecheka sana 🤣 🤣 🤣Atakusumbua huyo mweupe kichwani,hao ndio wapangaji ambao wakinunua umeme pia wanataka ile kodi ya jengo buku jero alipe mwenye nyumba, nna mpangaji wangu mmoja anajifanya mchumi kutwa kuniuliza nitamfidia vipi kodi ya jengo ya kila mwezi, nimemuambia ngojea mkataba ukaribie mwisho tutajua
Ukitaka kukata leseni ya biashara ni sharti uende na mkataba wa pango hata kama fremu ni yako lazima uwe na mkataba wa pango ili process zingine zifuate zikiwemo za kufanyiwa makadirioNgoja waje wajuzi
Asante 🙏Ukitaka kukata leseni ya biashara ni sharti uende na mkataba wa pango hata kama fremu ni yako lazima uwe na mkataba wa pango ili process zingine zifuate zikiwemo za kufanyiwa makadirio
Ndio maana nikasema mbuzi kafia kwa mchoma mishkaki maana utakuwa huonelewi ila unalipa kwa haki bin haki