yello masai
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 3,662
- 3,715
Binafsi sina jengo, ila kuna sehemu nimeweka umeme kwa ajili ya kazi zangu. Lakini sio kwenye jengo maana kazi hii nafanya sehemu ya wazi.
Sasa bwana leo nikasema ngoja ninunue umeme wa 2,200 nione kama nitakatwa kodi ya jengo wakati sina jengo.
Sijaamini kilichotokea, umeme wa 2,200 nimepata unit 0.6 kama inavyoonekana hapa chini.
Ushauri: Naishauri serikali kwa kuwa inahitaji hii kodi, isiite kodi ya jengo, iiteni kodi ya Mita ya LUKU. Kuna wengine tuna mita ila hatuna majengo.
TANESCO
Sasa bwana leo nikasema ngoja ninunue umeme wa 2,200 nione kama nitakatwa kodi ya jengo wakati sina jengo.
Sijaamini kilichotokea, umeme wa 2,200 nimepata unit 0.6 kama inavyoonekana hapa chini.
Ushauri: Naishauri serikali kwa kuwa inahitaji hii kodi, isiite kodi ya jengo, iiteni kodi ya Mita ya LUKU. Kuna wengine tuna mita ila hatuna majengo.
TANESCO