Kodi ya Jengo au Kodi ya Mita ya LUKU?

Kodi ya Jengo au Kodi ya Mita ya LUKU?

Kuna udhaifu mkubwa sana kwenye hii kodi .. In fact sio kodi ya jengo ni kodi ya meter ni ile service charge imerudi kwa mlango mwingine
Imagine nyumba yenye vyumba vitano na kila chumba kikawa na luku yake maana yake hapo sio 2000 bali ni elfu 10 kwakuwa kila meter itachajiwa
Umenigusa Mimi exactly
 
Vipi akili zako unazihifadhigi makalioni?
Unataka kujua ninapozihifadhi ili iweje? Acha tuisome namba maana watu wakiikosoa serikali kuna waengine wanaleta ushabiki kama wa simba na Yanga wakati wanajua kabisa maisha yakiwa magumu tunaumia wote, sasa mama muacheni aendelee hivi hivi mpaka kieleweke

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Binafsi sina jengo, ila kuna sehemu nimeweka umeme kwa ajili ya kazi zangu. Lakini sio kwenye jengo maana kazi hii nafanya sehemu ya wazi.

Sasa bwana leo nikasema ngoja ninunue umeme wa 2,200 nione kama nitakatwa kodi ya jengo wakati sina jengo.

Sijaamini kilichotokea, umeme wa 2,200 nimepata unit 0.6 kama inavyoonekana hapa chini.

Ushauri: Naishauri serikali kwa kuwa inahitaji hii kodi, isiite kodi ya jengo, iiteni kodi ya Mita ya LUKU. Kuna wengine tuna mita ila hatuna majengo.

TANESCO

View attachment 1900968
Duh[emoji849][emoji848]
 
Kila kukicha maisha ya Watanzania hasa wa hali ya chini yanazidi kufanywa kuwa magumu na wanasiasa, ccm mnaweza, haki mama anaupiga mwingi, hongera mama kweli sura sii roho.
 
Mama kasema huwa hakosei tumpe muda, hali itakuwa nzuri na wote tutafaidi. Mvumilivu hula mbivu. Mimi acha nivumilie tu. Mzee hilo ni jengo ila halina kuta zake ili upate hewa ya kutosha. Kuna makanisa pia hayana kuta za pembeni.
 
Sijui nimuandikie like jamhuri ya twita mama[emoji15][emoji15] naona amesahau kwenye visimbuzi navyo,akina Azam, startime, DStv, na vingine,aweke angalau elfu moja kwa mwezi,ili tujenge nchi.
Au Kila mwenye luninga alipe elfu moja kwa. Mwezi tupanue wigo wa ukusanyaji Kodi.
Mwenye namba ya mwigulu au mkuu wa nchi nimtaarifu hii fikra yangu,tafadhali.
 
Sijui nimuandikie like jamhuri ya twita mama[emoji15][emoji15] naona amesahau kwenye visimbuzi navyo,akina Azam, startime, DStv, na vingine,aweke angalau elfu moja kwa mwezi,ili tujenge nchi.
Au Kila mwenye luninga alipe elfu moja kwa. Mwezi tupanue wigo wa ukusanyaji Kodi.
Mwenye namba ya mwigulu au mkuu wa nchi nimtaarifu hii fikra yangu,tafadhali.
Sawa,tumekusikia ushauri wako mzuri sana
Tutalifanyia kazi 😂

Ova
 
Back
Top Bottom