Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Acha watu wale kulingana na urefu wa kamba zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha watu wale kulingana na urefu wa kamba zao
Kwa msiofuatilia taarifa mbalimbali ndio mtasema limeondolewa kinyemela, lakini ungejishughulisha kutafuta habari ungeijua kuwa TANESCO waliishalitolea ufafanuzi zamaaaani!!!Salaam, Shalom!!
Lile ongezeko la TSH 500 lililoletwa kinyemela miezi miwili iliyopita, imeondolewa kinyemela kimya kimya bila taarifa yoyote.
Ikumbukwe kuwa, ongezeko hili halikuletwa kupitia Utaratibu wowote kisheria, baada ya kelele na malalamiko mengi Toka Kwa wananchi, imeondolewa bila ufafanuzi wowote.
Hapa ndipo tulipofikia kama nchi, kundi au viongozi kadhaa kwenye Taasisi au wizara za Serikali kumbe wanaweza kuongeza Kodi yoyote watakavyo na wasihojiwe na yoyote bila hatua yoyote kuchukuliwa dhidi Yao.
Tunahitaji majibu sahihi.
Karibuni 🙏
Mbona mm nmepata 23.8 kwa 10kNa hii imekaajeee? Unit 28 mpaka unit 22
View attachment 3062571