mamakibunju
JF-Expert Member
- Dec 28, 2013
- 1,009
- 221
Hii sheria ni kandamizi. Bango kukaa barabarani ni sawa kabisa kulipiwa maana ile ni public place ila kuweka kwenye nyumba yangu mwenyewe ambayo ninailipia kodi ya majengo huo ni wizi kabisa. Umefika wakati wa kukataa udhalimu huu.
Sent from my iPad using JamiiForums