Kodi ya miamala ya simu ni mbinu mpya ya upigaji?

Kodi ya miamala ya simu ni mbinu mpya ya upigaji?

MR TOXIC

Senior Member
Joined
Jun 4, 2019
Posts
190
Reaction score
525
Ni wiki chache tu tangu serikali ianzishe kodi ya miamala ya simu kwa madai kwamba mapato yatakayotokana na tozo hizo yataenda kufungua barabara za mjini na vijijini.

Lakini juzi, waziri huyo huyo aliyetuaminisha kwamba barabara zitajengwa kwa kodi inayotokana na tozo ya miamala ya simu ameziagiza halmashauri zote kutenga bajeti kupitia mapato ya ndani kwaajili ya ujenzi wa barabara.

Serikali hakuishia kuahidi barabara bali pia kupitia waziri wa fedha alisema wana mpango wa 'kuinject' uchumi au kuweka mzunguko wa fedha kwa watu lakini matokeo yake tunaona mfumko wa bei za bidhaa ikiwemo mafuta, gesi, mbolea n.k vikizidi kupaa juu.

Sasa tujiulize,

Kama barabara zinajengwa kwa mapato ya ndani ya halmashauri na mzunguko wa fedha bado ni mdogo mtaani, je kodi ya miamala ya simu inayokusanywa kwa kuumiza wananchi inakwenda wapi?
 
Mkuu Acha iwe hivo tena napendekeza hii kitu isifutwe ili wakupiga hela wapige wakulia walie kwenye kila tatizo kuna watu wananufaika... wew hujui tu!!
 
Siku zote hawa jamaa huwachukulia wapiga kura kama viumbe visivyo na akili vile! Jambo ambalo siyo sahihi hata kidogo.
 
Kwani wewe uliamani hizo pesa zitajenga barabara kweli. Huoni mabango ya “World Bank” kwenye kila barabara inayojengwa[emoji23][emoji23]
 
Ditto James kazitafuna wee kamuachia mwigulu.Ningepata jinsi ya kuikwepa kodi hakika hata kumi yangu wasingepata hawa.
 
Wabongo wenyewe hatujielewi utaona serikali ikifanya wajibu wake baada ya kukusanya kodi labda imejenga barabara au zahanati tunaona tumesaidiwa na mtu fulani tena wakati mwingine hata kitu chenyewe kilichojengwa kimejengwa chini ya kiwango badala ya kulalamika ndio kwanza tunatoa shukurani na kumuombea dua kabisa huyo mwizi na huyo mwizi ana wapambe wake utasikia wakisema fulani ndio katoa hela wakati hela ni zetu wenyewe kupitia kodi.
 
Ni wiki chache tu tangu serikali ianzishe kodi ya miamala ya simu kwa madai kwamba mapato yatakayotokana na tozo hizo yataenda kufungua barabara za mjini na vijijini.

Lakini juzi, waziri huyo huyo aliyetuaminisha kwamba barabara zitajengwa kwa kodi inayotokana na tozo ya miamala ya simu ameziagiza halmashauri zote kutenga bajeti kupitia mapato ya ndani kwaajili ya ujenzi wa barabara.

Serikali hakuishia kuahidi barabara bali pia kupitia waziri wa fedha alisema wana mpango wa 'kuinject' uchumi au kuweka mzunguko wa fedha kwa watu lakini matokeo yake tunaona mfumko wa bei za bidhaa ikiwemo mafuta, gesi, mbolea n.k vikizidi kupaa juu.

Sasa tujiulize,

Kama barabara zinajengwa kwa mapato ya ndani ya halmashauri na mzunguko wa fedha bado ni mdogo mtaani, je kodi ya miamala ya simu inayokusanywa kwa kuumiza wananchi inakwenda wapi?
Serikali imeshindwa kuwaambia Watanzania inakusanya kodi kiasi gani kwa mwezi kama iivyokuwa ada kwa sababu inataka kuficha udhaifu wake wa kukusanya mapato na kuanzisha hizi kodi zisizokuwa na kichwa. Sasa SSH aliposaini kodi hii ya miamala alikuwa anafikiri nini? Hizi zuga anazofanya hazitamsaidia katika uongozi wake. Swala la kujaza pesa mtaani ni kuongeza inflation tu kwa wachache ambao hawafanyi kazi na kutegemea kuwakamua walipa kodi. Aibu kwa utawala wake. Watakaotajirika ni wale wenye kufahamiana na Bankers kufuja kile ambacho awamu ya tano ilikuwa inasimamia, uwajibikaji.
 
Mkuu Acha iwe hivo tena napendekeza hii kitu isifutwe ili wakupiga hela wapige wakulia walie kwenye kila tatizo kuna watu wananufaika... wew hujui tu!!
Nchi imerudi kwenye upigaji kwa kasi ya ajabu.

Napendekeza mapato ya miamla yafanyiwe mapitio na mkaguzi wa serikali tujue mbivu na mbichi
 
Ni wiki chache tu tangu serikali ianzishe kodi ya miamala ya simu kwa madai kwamba mapato yatakayotokana na tozo hizo yataenda kufungua barabara za mjini na vijijini.

Lakini juzi, waziri huyo huyo aliyetuaminisha kwamba barabara zitajengwa kwa kodi inayotokana na tozo ya miamala ya simu ameziagiza halmashauri zote kutenga bajeti kupitia mapato ya ndani kwaajili ya ujenzi wa barabara.

Serikali hakuishia kuahidi barabara bali pia kupitia waziri wa fedha alisema wana mpango wa 'kuinject' uchumi au kuweka mzunguko wa fedha kwa watu lakini matokeo yake tunaona mfumko wa bei za bidhaa ikiwemo mafuta, gesi, mbolea n.k vikizidi kupaa juu.

Sasa tujiulize,

Kama barabara zinajengwa kwa mapato ya ndani ya halmashauri na mzunguko wa fedha bado ni mdogo mtaani, je kodi ya miamala ya simu inayokusanywa kwa kuumiza wananchi inakwenda wapi?
Utawala wa kijanja kijanja chini ya CCM. Huu ni wizi wa kidola.
 
Sera zisizo kuwa na mwelekeo huwa hazina Tija na huwa hazifanikiwi 'ineffective policies'
 
Nchi imerudi kwenye upigaji kwa kasi ya ajabu.

Napendekeza mapato ya miamla yafanyiwe mapitio na mkaguzi wa serikali tujue mbivu na mbichi
Nchi hii haijawahi kutoka kwenye upigaji hivyo si sawa kusema eti imerudi kwa kasi ya ajabu.
 
Nchi hii haijawahi kutoka kwenye upigaji hivyo si sawa kusema eti imerudi kwa kasi ya ajabu.
Kuna upigaji wa kificho lakini huu ni wa wazi wazi. Tunapigwa mchana kweupe
 
Back
Top Bottom