Kodi ya Pango: TRA yatoa ufafanuzi kuhusiana na kodi ya pango

Kodi ya Pango: TRA yatoa ufafanuzi kuhusiana na kodi ya pango

Peter Madukwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2012
Posts
3,139
Reaction score
2,488
20220825_225809.jpg
 
Tafsiri yake,
Kwa Pato la 500,000 kwa mwaka,
Maana ake kila mpangishaji anaekusanya kuanzia elfu 41,600 kwa nyumba anapaswa kulipa Kodi Tena ya serikali[emoji848]
 
Kodi ya majengo ni property tax

Halafu Kuna Ya Ardhi kwa sababu umepanga kwenye Ardhi ya Tanzania

Halafu ndio hii kubwa kuliko
Rental tax ambayo ni asilimia 10.

Ila hii ukiwa umepanga na muwe na mkataba kati yako na mwenye nyumba.

Ukikaa kwa mjomba au shangazi haikuhusu, nadhani hapo mtakuwa mmenielewa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Jana nilikuwa na mshkaji wangu anaitwa Mjivuni ukimuona kama chizi hivi lakini ni mtu anayeongea point strong na kujenga hoja nzito sema tu ndo vile maisha yamempiga...2014 aliwahi kunambia hii nchi mpaka watu wapasuane ndio tutaheshimiana,jana kanikumbushia hili kanambia nchi zenye watu wenye akili timamu hawawezi kuburuzwa kama mifugo na wakakaa kimya nakubaliana na yeye kabisa
 
serikali ni watu na TRA ni taasisi ndani ya serikali inabidi pia waeleze mchakato mzima wa pesa zinavyo tumika za kodi kwa matangazo hii itasaidia watu kulipa bila kukimbia kimbia .
 
Jana nilikuwa na mshkaji wangu anaitwa Mjivuni ukimuona kama chizi hivi lakini ni mtu anayeongea point strong na kujenga hoja nzito sema tu ndo vile maisha yamempiga...2014 aliwahi kunambia hii nchi mpaka watu wapasuane ndio tutaheshimiana,jana kanikumbushia hili kanambia nchi zenye watu wenye akili timamu hawawezi kuburuzwa kama mifugo na wakakaa kimya nakubaliana na yeye kabisa
Hii ni hatari sana sana
 
Hii ni ya Kiwanja.
Hakuna kodi inayoitwa ya kiwanja, kuna kodi ya ardhi ambayo inakusanywa na wizara ya ardhi na ni kwa kiwanja kilichopimwa tu.halafu hiyo inayolipiwa kuoitia luku ni kodi ya majengo(property tax) hii tena ni kidi ya zuio(withholding tax)ni 10% ya kodi ya upangishaji anatakiwa kulipa mwenye nyumba kupitia kwa mpangaji.
Yaani kama kwa mwaka unamlipa mwenye nyumba laki 6, asilimia 10 yake ambayo ni 60, 000 unatakiwa ukailipe TRA, na mwenye nyumba umpe 540, 000.inayobakia.
 
Serikali itoe tamko kuhusu wenye nyumba kuongeza kodi ya nyumba kutokana na uamzi huu. Ni marufuku kupandisha bei, la sivyo tutaumia sisi wapangaji wakati nyie fahari wawili mkipigana.

Vinginevyo ni uamzi mzuri mno. Binafsi ilikuwa haingii akilini kuona mwenye nyumba anapokea kitita chote bila kukatwa kodi.

Japo kwakweli chonde chonde Serikali na watu wako, tumia hizi pesa zetu vizuri kwa nidhamu kubwa, kinyume na hapo machozi yetu yatawang'oa kwenye hivyo viti. Narudia tena, tunataka tuone maendeleo kutokana na tozo zote hizo, NIMEMALIZA.
 
Serikali itoe tamko kuhusu wenye nyumba kuongeza kodi ya nyumba kutokana na uamzi huu. Ni marufuku kupandisha bei, la sivyo tutaumia sisi wapangaji wakati nyie fahari wawili mkipigana.

Vinginevyo ni uamzi mzuri mno. Binafsi ilikuwa haingii akilini kuona mwenye nyumba anapokea kitita chote bila kukatwa kodi.

Japo kwakweli chonde chonde Serikali na watu wako, tumia hizi pesa zetu vizuri kwa nidhamu kubwa, kinyume na hapo machozi yetu yatawang'oa kwenye hivyo viti. Narudia tena, tunataka tuone maendeleo kutokana na tozo zote hizo, NIMEMALIZA.
Jenga yako mkuu maana kuna kodi mbili analipa mwenye nyumba moja ni ardhi nyingine nu majengo, sasa hii nyingine hapana
 
Hii Kodi kweli si ngeni , Kama wewe ni umeshawahi pata TIN ya biashara lazima ulipe kwanza , with holding tax 10 %. Ndio maana miaka yote ukifika TRA wanakwambia lete mkataba wa pango, Kama mfano ulilipa million moja Kwa mwaka ,TRA wanakwambia utalipa laki moja yaani 10% na iko ivo miaka yote. .naona wanataka wapanue wigo kuidai..tunakoelekea na yenyewe wataanza ikusanya kwenye luku etc.. Watanzania walivo wanyonge watakatwa na hakuna wakupiga kelele..Tozo saiv tumeshazizoea na hata saiv zimekuja za mabenki kelele siku mbili tatu kwisha habari. TUMELALA SANA
 
Ngoja mitanzania modabwada ibonyezwe mpaka iimbe poooooooooooooooooo
Wakenye wamesema sisi ni bongo fleva, basi mengine mradi tunakwenda chooni kunya mihogo
 
Sijaona huo ufafanuzi...wanakomaa tu na kodi kodi alaf huku mtaan barabara hovyo maji hakuna..hao ni wapuuzi flani.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
MAISHA YAMEKUWA MAGUMU KWELI KWELI HUKU VIONGOZI WAKIPATA MAZIWA SAFI YA MOTO NA KOROSHO MEZANI KAMA AMBAVYO WENGI TUNAVYOWAONA, WAKAZI WA DAR WENGI KWA ASILIMIA 80% NI WAPANGAJI NA WENGI NI WATU WA CHINI WENYE KULA YA TABU KWELI, MABANDA MENGI YA USWAHILI AMBAYO NDIYO YENYE WAPANGAJI WENGI HATA KUYAREPEA NI TABU PAMOJA NA KAKODI WAKIPATACHO, MAANA HAKITOSHI CHA CHOCHOTE NI KUONGEZA TABU JUU YA SHIDA, UNAKUTA BIBI NA KIBANDA CHAKE NA WAPANGAJI WAKE 3, KANYUMBA KANAVUJA YENYE ANAKAANGA VITUMBUA VIJUKUU MAAFTARI YAMEKWISHA MAMA ZAO DANGA LIMEGOMA,SEREKALI ITAFAKARI UPYA JUU YA HILI. HAIONI HUKU CHINI KULIVYO, HAIJUI UHALISIA.
 
Back
Top Bottom