VEBS
Member
- Aug 24, 2022
- 86
- 104
Mkuu any business deal unatakiwa kulipia kodi acha kulalamika.Jenga yako mkuu maana kuna kodi mbili analipa mwenye nyumba moja ni ardhi nyingine nu majengo, sasa hii nyingine hapana
Hizi pesa kwa asili ni za serikali sio zako. Rejea habari hii ambayo familia ilifikiri ndugu yao ni tajiri sana na anastahili kuzikwa na pesa anazomiliki;
"Wanasheria nchini Uganda wameamua kuifikisha familia ya Ivan Mahakamani kwa makosa ya kuzika pesa halali za Jamhuri ya Uganda katika kaburi la ndugu yao Ivan. Kwa nchi yoyote kitendo hicho hakikubaliki kwani pesa hizo zingeweza kutumika katika shughuli zingine na kukuza uchumi wa nchi"
Kama kujenga nyumba yangu hatua inaendelea, haina shaka. Nataka tu tujaribu kuwa chanya kwa baadhi ya Mambo ya nchi yetu, mengi ni mazuri labda tuseme wengi hatuna imani na matumizi ya watu wetu hapo juu but let us "trust the process"