Hakuna kodi inayoitwa ya kiwanja, kuna kodi ya ardhi ambayo inakusanywa na wizara ya ardhi na ni kwa kiwanja kilichopimwa tu.halafu hiyo inayolipiwa kuoitia luku ni kodi ya majengo(property tax) hii tena ni kidi ya zuio(withholding tax)ni 10% ya kodi ya upangishaji anatakiwa kulipa mwenye nyumba kupitia kwa mpangaji.
Yaani kama kwa mwaka unamlipa mwenye nyumba laki 6, asilimia 10 yake ambayo ni 60, 000 unatakiwa ukailipe TRA, na mwenye nyumba umpe 540, 000.inayobakia.