darling-tone
Member
- Apr 24, 2013
- 60
- 11
Assalam aleykum, bwana Yesu asifiwe.
Wanajamvi ninaomba msaada kwa anayejua kodi itakayokatwa na watu wa TRA kama ninaingiza gari ya dola 6000 nje ya gharama za usafiri ya mwaka 2005. Nikiweka gharama za usafiri ni kama dola 7900's. Nihabarisheni na gharama zingine nitakazoingia mbali na kodi. Ni mara yangu ya kwanza kufanya hizi transaction mwenyewe hivyo ninaomba uzoefu wenu wanajamvi.
Ninaamini kwenye wengi hapaharibiki neno.
Asanteni.
binafsi ningependa kujua pia habare hii ila wenye jamvi wamekaa kimyaaaaaaaaaaaaaaaaa mukuje basi mumudadavulie mleta uzi kuhusu haya ili nasie tufaudu.
........
Mimi pia.....
Tuwasubiri majemedari
Kwanza kabisa Tra hawatataka kujua ilo gari umenunua kiasi gani,watakuja na makisio yao,Rav 4 ya 2005 kwa CIF ya $ 7900 ni ndogo sana wao wanaweza sema CIF ni $11000 na ndio wakapigia hesabu,hivyo nakushauri 9ml uwe nayo itatosha mpaka na chai ya mkaguzi pale Bandarini.Kama una agent mzuri mpe namba tano za mwanzo za chasis namba ya ilo gari atakupa makisio mazuri zaidi,maana si Rav 4 zote za 2005 zina tax inayofanana
Umejibu vyema. nilishaingiza mpendwa. CIF yao ni nyingine kabisa tofauti ya uliyonunulia. kwa ufupi kama mtu anaagiza gari japan ni vyema hela anayonunulia kule aidabo mara mbili na zaidi.
Au aidabo mara tatu kabisa amalize mchezo.
Assalam aleykum, bwana Yesu asifiwe.
Wanajamvi ninaomba msaada kwa anayejua kodi itakayokatwa na watu wa TRA kama ninaingiza gari ya dola 6000 nje ya gharama za usafiri ya mwaka 2005. Nikiweka gharama za usafiri ni kama dola 7900's. Nihabarisheni na gharama zingine nitakazoingia mbali na kodi. Ni mara yangu ya kwanza kufanya hizi transaction mwenyewe hivyo ninaomba uzoefu wenu wanajamvi.
Ninaamini kwenye wengi hapaharibiki neno.
Asanteni.
Umejibu vyema. nilishaingiza mpendwa. CIF yao ni nyingine kabisa tofauti ya uliyonunulia. kwa ufupi kama mtu anaagiza gari japan ni vyema hela anayonunulia kule aidabo mara mbili na zaidi.
Umejibu vyema. nilishaingiza mpendwa. CIF yao ni nyingine kabisa tofauti ya uliyonunulia. kwa ufupi kama mtu anaagiza gari japan ni vyema hela anayonunulia kule aidabo mara mbili na zaidi.
Au aidabo mara tatu kabisa amalize mchezo.
Vp ulilipia sh.ngapi?
Kwanini TRA wana toza kodi ndefu hivyo, hii inakua kama kukomoana vile. Au kuna mchezo mchafu wanaucheza na wamiliki wa yard za kuuza magari, kwa ku-discourage watu/mtu mmoja mmoja kujiagizia gari ili wamiliki wa yard waweze piga hela. (Just Saying:music::music::music🙂
Utalipa kodi ya dola 1701 ukitaka kufanya hesabu nenda download hapa utapata sheet ya excel ingiza gharama ya hiyo gari mengine yatakupa majibu yenyewe.
Tanzania Revenue Authority - Calculators & tools