darling-tone
Member
- Apr 24, 2013
- 60
- 11
Assalam aleykum, bwana Yesu asifiwe.
Wanajamvi ninaomba msaada kwa anayejua kodi itakayokatwa na watu wa TRA kama ninaingiza gari ya dola 6000 nje ya gharama za usafiri ya mwaka 2005. Nikiweka gharama za usafiri ni kama dola 7900's. Nihabarisheni na gharama zingine nitakazoingia mbali na kodi. Ni mara yangu ya kwanza kufanya hizi transaction mwenyewe hivyo ninaomba uzoefu wenu wanajamvi.
Ninaamini kwenye wengi hapaharibiki neno.
Asanteni.
Wanajamvi ninaomba msaada kwa anayejua kodi itakayokatwa na watu wa TRA kama ninaingiza gari ya dola 6000 nje ya gharama za usafiri ya mwaka 2005. Nikiweka gharama za usafiri ni kama dola 7900's. Nihabarisheni na gharama zingine nitakazoingia mbali na kodi. Ni mara yangu ya kwanza kufanya hizi transaction mwenyewe hivyo ninaomba uzoefu wenu wanajamvi.
Ninaamini kwenye wengi hapaharibiki neno.
Asanteni.