Ok, but nachoshangaa mbona kodi ya uchakavu ya 2006 ni ndogo kuliko 2005, na kodi ya 2005 ni kubwa kuliko 2004 na 2006?Ingawa picha zako hazionekani vyema, lkn kwa nijuavyo mimi ni kuwa kodi zote ikiwemo hiyo ya uchakavu huwa inakokotolewa kutokana na thamani ya gari!
Gari linavyozidi kuzeeka ndo thamani yake inazidi kushuka mfano gari ya 2003 inaweza kuwa $2500 na ya 2005 ikawa labda $3500. Thamani za magari wanazijua wao TRA. Kwa mfano kama kodi ya uchakavu ni 10% then gari ya 2003 itakuwa na kodi ya uchakavu ya $250 wakati ile ya 2005 itakuwa na $350.
Mmh nahitaji muda kwenye hili naona kama sio kawaidaWakuu nimekuwa confused kidogo hapa, nilihitaji kuchukua gari hii ila kikokotozi cha TRA kimenishangaza, nilihitaji kuchukua Toyota Allex ya 2005 ila nimeshangaa kuona gharama ya uchakavu ya 2005 ni kubwa kuliko matoleo yake ya nyuma ya mfano huo 2003, inakuwaje hii? Nachoelewa mimi miaka ya jinsi inavyokuwa imepita mingi ndio gharama ya uchakavu inavyoongezeka. Hapa nimeshindwa kuelewa kwanini imekuwa kinyume LEGE, mshana jr na wataalam wengine
2005
View attachment 419011
2003
View attachment 419014
2006
View attachment 419016
Ok, but nachoshangaa mbona kodi ya uchakavu ya 2006 ni ndogo kuliko 2005, na kodi ya 2005 ni kubwa kuliko 2004 na 2006?