screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,857
- 15,866
Wakuu nimekuwa confused kidogo hapa, nilihitaji kuchukua gari hii ila kikokotozi cha TRA kimenishangaza, nilihitaji kuchukua Toyota Allex ya 2005 ila nimeshangaa kuona gharama ya uchakavu ya 2005 ni kubwa kuliko matoleo yake ya nyuma ya mfano huo 2003, inakuwaje hii? Nachoelewa mimi miaka ya jinsi inavyokuwa imepita mingi ndio gharama ya uchakavu inavyoongezeka. Hapa nimeshindwa kuelewa kwanini imekuwa kinyume LEGE, mshana jr na wataalam wengine
2005
2003
2006
2005
2003
2006