kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Asikudanganye MTU hata kama ukiongeza mshahara lakini ukaongeza bei ya mafuta ni kama umechukua ulichoongeza.
Nani humu JF anazifahamu kodi zilizomo kwenye mafuta ya petroli na mafuta ya kula atujuze?
Hali za wananchi bila kujali vyama vya siasa zinatia mashaka, kiuhalisia hawatofautiani sana na Kuku wa kienyeji kujitafutia wenyewe dawa wakiumwa, masoko ya mazao yao wakivuna, madawati shuleni, mabweni kwa watoto wao, barabaara, maji ya kunywa, vitaa vya sola wapate mwanga na mambo mengi.
Maendeleo wanayataka lakini hebu wahusika angalieni kodi zisizo na ulazima kwenye maisha yao zitazosaidia kuwapatia ahueni watanzNia hawa wanaoimba hiyenahiyena kama mazuzu bila kujali wamekula na kuvaa nini mwilini na miguuni.
Nani humu JF anazifahamu kodi zilizomo kwenye mafuta ya petroli na mafuta ya kula atujuze?
Hali za wananchi bila kujali vyama vya siasa zinatia mashaka, kiuhalisia hawatofautiani sana na Kuku wa kienyeji kujitafutia wenyewe dawa wakiumwa, masoko ya mazao yao wakivuna, madawati shuleni, mabweni kwa watoto wao, barabaara, maji ya kunywa, vitaa vya sola wapate mwanga na mambo mengi.
Maendeleo wanayataka lakini hebu wahusika angalieni kodi zisizo na ulazima kwenye maisha yao zitazosaidia kuwapatia ahueni watanzNia hawa wanaoimba hiyenahiyena kama mazuzu bila kujali wamekula na kuvaa nini mwilini na miguuni.