Kodi zetu zinatafunwaa vilivyo, Makonda atatoa zawadi ya Mil 10

We kiwango cha manula hakijakukuna???
Anakiwango cha kawaida cha kuisaidia timu pale anapoamka vizuri...ila si kwa wa kiwango hikooo hadi DAB amwagie mapesa ..while kuna kina CCC wako achia mbali wachezaji wengine bora zaidi..
 
Tuache kuongea vitu tusivyokuwa na uhakika navyo nilivyosoma heading tu nikajua lazima hiyo picha itapostiwa tu
 
jamani......si Makonda mwenyewe kakiri "anakunwa" na Manula?

kama "kakunwa" vizuri, then kuna ajabu gani kwa "mkunaji" kuwa rewarded na "mkunwaji"?

ama mimi ndiye sijaelewa hapa??!
 
jamani......si Makonda mwenyewe kakiri "anakunwa" na Manula?

kama "kakunwa" vizuri, then kuna ajabu gani kwa "mkunaji" kuwa rewarded na "mkunwaji"?

ama mimi ndiye sijaelewa hapa??!
Duh..kumbe ndio hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…