AKILI TATU
JF-Expert Member
- Feb 10, 2016
- 2,659
- 2,827
- Thread starter
- #41
Na imepostiwa kweli..sijui inahusika vipi hapaTuache kuongea vitu tusivyokuwa na uhakika navyo nilivyosoma heading tu nikajua lazima hiyo picha itapostiwa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na imepostiwa kweli..sijui inahusika vipi hapaTuache kuongea vitu tusivyokuwa na uhakika navyo nilivyosoma heading tu nikajua lazima hiyo picha itapostiwa tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo anayeangalia ndio Manula?
Mimi pia nimejiuliza, kwani mshahara wa mkuu wa mkoa shngapiHuyu kijana anatoa wapi hela anazo gawa kienyeji hivi kama njugu.
Wewe mwenyewe umeacha milango na madirisha, wazi, lazima wadudu na harufu chafu vyote viingie ndani!Tuache kuongea vitu tusivyokuwa na uhakika navyo nilivyosoma heading tu nikajua lazima hiyo picha itapostiwa tu
uyo mwenyenamba 28 ninanitenaa???111
mbunge wangu mtarajiwa!
uyo mwenyenamba 28 ninanitenaa???111
goalkeeper wa Tanzania National team ya footballuyo mwenyenamba 28 ninanitenaa???111
Mpiga picha anatakiwa apewe tuzo kwa hii picha
Kisha kunwa anakupima, kijana mashallah, to to sehemu.. shepu, umbo namba nane utadhani aliyokuwa mtoto alivishwa Uzi kiunoni ili shepu ikatike
ahaha mashalaah
Watakuwa wameanza ule mchezoHapana ..ila nataka wanaoelewa yanayoendelea waseme hapa
Richard Daudi Bashite QuestHivi yule mtangazaji wa CNN ambaye kautangazia ulimwengu kuwa anatarajia kufunga ndoa anaitwa nani vile?
Atatunikiwa na birianiWadau kama kichwa kisemavyo..napatwa ukakasi kutafakari juu ya hali ya ghafla ya mahaba na ukaribu anaojaribu kuuonyesha Mkuu wa Mkoa was DSM na goli kipa wa Simba Aishi Manula..
Alianza kumsifia (japo kusifia sio dhambi) baada ya mechi na TP Mazembe Congo ambapo DAB alisema kiwango cha Manula kilimkuna hivyo angetoa zawadi..(japo kiuhalisia sidhani kama Manula alionyesha kiwango hiko cha uwezo.
Jana kwenye tuzo za Mo Simba Awards ..DAB ikasemekana angetimiza ahadi ya kumtunuku Manula zawadi yake ya kiwango kizuri kwenye game na Mazembe.(zawadi ilitangazwa milioni 5 na MCs wa sherehe hizo)
DAB alipopewa nafasi kutoa tuzo..akasema kuwa ataongeza pesa hiyo kutoka milioni tano hadi 10 sambamba na kutoa milioni 1 kwa kila mshindi wa tuzo..
Sababu za kuongeza pesa hiyo..eti kiwango cha Manula kimemkuna ghafla...
Atukatai mchezaji kupewa pongezo anapofanya vyema..but why inakuwa kwa staili hii??
Na hisi kuna..... Kanaendela kati ya hao wawili...
Na imepostiwa kweli..sijui inahusika vipi hapa
Ukistaajabu ya Pombe utaona ya Bashite.Huyu kijana anatoa wapi hela anazo gawa kienyeji hivi kama njugu.