Jamaa anachekea msambwanda soo [emoji23][emoji23][emoji23]
Dah maish haya
Hivi yule mtangazaji wa CNN ambaye kautangazia ulimwengu kuwa anatarajia kufunga ndoa anaitwa nani vile?
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi pia nimejiuliza, kwani mshahara wa mkuu wa mkoa shngapi
Anapata wapi?Sidhani na sijui kama anategemea mshahara..ana pesa za kumwaga ..anawweza kupata pesa anytime anywhere
Uzi umefungwa Kama mwenye mada hajalizika na jibu aende FB kuendelea na upelelezi wake
Walahi kuna watu wakorofi sana humu dah nimecheka hadi nimefungulia kwa kumeza machozi yaliyotiririka hadi mdomoni
Anapata wapi?
Dah jamani mimi nimezurura sehem nyingi za habari lakini jf ni breki
Kumbe..I never knowWatakuwa wameanza ule mchezo
Hahahahah duh..kwani inahusika hapa??Atatunikiwa na biriani
Najiuliza lakini bado sijapata jibuMkuu wewe unaona inahusika wapi? Au hao sio wahusika wenyewe?
si kuna hela za vitambulisho vya wamachinga?jamaa ni naibu Rais anajichukulia atakavyo na kuzitapanya si unaona mindinga ile ya kifahari? the guy is rich.Sidhani na sijui kama anategemea mshahara..ana pesa za kumwaga ..anawweza kupata pesa anytime anywhere