Kodi zetu zinatafunwaa vilivyo, Makonda atatoa zawadi ya Mil 10

Kodi zetu zinatafunwaa vilivyo, Makonda atatoa zawadi ya Mil 10

Hivi wakikulana faragha nalo tatizo?
Wadau kama kichwa kisemavyo..napatwa ukakasi kutafakari juu ya hali ya ghafla ya mahaba na ukaribu anaojaribu kuuonyesha Mkuu wa Mkoa was DSM na goli kipa wa Simba Aishi Manula..

Alianza kumsifia (japo kusifia sio dhambi) baada ya mechi na TP Mazembe Congo ambapo DAB alisema kiwango cha Manula kilimkuna hivyo angetoa zawadi..(japo kiuhalisia sidhani kama Manula alionyesha kiwango hiko cha uwezo.

Jana kwenye tuzo za Mo Simba Awards ..DAB ikasemekana angetimiza ahadi ya kumtunuku Manula zawadi yake ya kiwango kizuri kwenye game na Mazembe.(zawadi ilitangazwa milioni 5 na MCs wa sherehe hizo)

DAB alipopewa nafasi kutoa tuzo..akasema kuwa ataongeza pesa hiyo kutoka milioni tano hadi 10 sambamba na kutoa milioni 1 kwa kila mshindi wa tuzo..

Sababu za kuongeza pesa hiyo..eti kiwango cha Manula kimemkuna ghafla...

Atukatai mchezaji kupewa pongezo anapofanya vyema..but why inakuwa kwa staili hii??

Na hisi kuna..... Kanaendela kati ya hao wawili...
 
"Nilipokuwa nimekaa kwenye kiti natafakari,nikaunda kamati ndogo papo kwa papo, ambapo nao wamechangia kiasi cha fedha, hivyo spika usije ukaniundia tume, kuhusu hizi hela,zinetoka wapi, waje jumatatu sa NNE asubuhi ofisin kwangu, niwape hela zao" Mh, Paul Makonda akimwambia Spika wa bunge Mh.Job Ndugai
 
"Nilipokuwa nimekaa kwenye kiti natafakari,nikaunda kamati ndogo papo kwa papo, ambapo nao wamechangia kiasi cha fedha, hivyo spika usije ukaniundia tume, kuhusu hizi hela,zinetoka wapi, waje jumatatu sa NNE asubuhi ofisin kwangu, niwape hela zao" Mh, Paul Makonda akimwambia Spika wa bunge Mh.Job Ndugai
Mwizi mkubwa huyuu
..Kamati danganya toto tuu mwehu huyuu
 
Acha kuteseka mtoa mada! We jali mambo yako
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wee jamaa kwa hiyo unakopaga pesaa ukawagawiee watu????[emoji119][emoji119][emoji119]
Kwani wanaotoa misaada au kurejesha faida kwa jamii ulishahoji walipataje mitaji??
 
Kwani wanaotoa misaada au kurejesha faida kwa jamii ulishahoji walipataje mitaji??
Hivi alichotoa makonda ni misaada??? Zawadi za mamilion unasema msaada... ukapimwe akili.. Acha kufananisha vitu visivyofanana
 
Kwani zile mil 10 kwa kila mchezaji wa stars ameshatoa?
 
Hivi alichotoa makonda ni misaada??? Zawadi za mamilion unasema msaada... ukapimwe akili.. Acha kufananisha vitu visivyofanana
Kwanini alichotoa zawadi ww unaona si sawa?? Au angetoa raia mwingine mwenye pesa ingekuwa sawa kosa tu katoa makonda ndo shida
 
Kwanini alichotoa zawadi ww unaona si sawa?? Au angetoa raia mwingine mwenye pesa ingekuwa sawa kosa tu katoa makonda ndo shida
Sasa raia mwingine ni nani kama sio kina Mengi mkuu[emoji23][emoji23][emoji23] Apumzike kwa amani hela ilivyokuwa ngumu hivi mamaee afu bashite anahonga mamillion bora hata afuturishee...!!
 
Back
Top Bottom