Kodtec Speaker systems

Kodtec Speaker systems

Nitaendelea na hii old school yangu, mpaka ife ishindwe kutengenezeka..,[emoji847]
#longlivebose
Bose_34125_3_2_1_GS_Series_II_492219.jpg


Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Yeah Clarity ipo, siwezi kuisemea sana kwa sababu alinitestia na manyimbo ya kibongo ya wasafi yale with some Nigerian pop!Simu yangu niliacha ndani ya gari parking so sikuwa na pairing device nikatumia ya muuzaji pale pale.

Ila its clarity is audible mpaka nilimwambia apunguze kidogo mchicha. Mi huwa sipendi mziki wenye mids kali, napenda Bass na highs ziwe juu kidogo na balanced.

Ila kwenye bass department that thing did an exceptional job! Japo nyimbo zilikuwa mbaya ile they sounded great. Haina Flat bass kama misabufa mingine ya kichina ile ya boombass tu! Nafikiri ndio maana wameweka speaker za aina 2 tofauti ku cover Lowest Bass Notes na Mid Bass notes! Kwahivyo unapata full dynamic range effects.
Mkuu SonyShake 70 ina mziki wa maana?
 
Basi humu vyote unavipata, kishindo cha kupasua kifua na Clarity. Mziki mnene kweli kweli na pia hata kwa atakaepita jirani na eneo mziki unapopigwa lazma atasogea aulize ni kitu gani kinatoa huo mziki?

Ukitaka kupima mziki wako kama uko pure sikiliza nyimbo ya KCI & Jojo - Don't leave me! Ile Base note ina hit kwa namna ya pekee sana na husikika kwenye kinu cha uhakika tu.
Naomba link ya huo wimbo, make sijaupata.
 
Range nzuri yenye mkito wa HiFi ni kuanzia Hz ngapi? Yani yenye mkito wa level za kama picha hapa chini,
Na hizo frequency/Hz nitazionea kwa wapi?
View attachment 2110102
Huu mziki ulikuwa kwa uncle yangu mmoja. Rip Jafet Mshana.
Huo ulikuwa unafika 2Hz kwa CD ila kwa tape unaanzia 40Hz mkito wake ulikuwa balaa aisee ukiskiza goma la Mr.Paul nakuzimia lile ilikuwa hatari tupu
 
Kwema wakuu?
Nilikwa nataka kufahamu, kuhusu haya madungu jeshi hapa kwenye picha, kwa ambae ana experience nayo

Ailipu SP9033 Subwoofer​

1644429083118.png
 
Back
Top Bottom