Yeah Clarity ipo, siwezi kuisemea sana kwa sababu alinitestia na manyimbo ya kibongo ya wasafi yale with some Nigerian pop!Simu yangu niliacha ndani ya gari parking so sikuwa na pairing device nikatumia ya muuzaji pale pale.
Ila its clarity is audible mpaka nilimwambia apunguze kidogo mchicha. Mi huwa sipendi mziki wenye mids kali, napenda Bass na highs ziwe juu kidogo na balanced.
Ila kwenye bass department that thing did an exceptional job! Japo nyimbo zilikuwa mbaya ile they sounded great. Haina Flat bass kama misabufa mingine ya kichina ile ya boombass tu! Nafikiri ndio maana wameweka speaker za aina 2 tofauti ku cover Lowest Bass Notes na Mid Bass notes! Kwahivyo unapata full dynamic range effects.