MWEMBEKIUNO
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 1,877
- 2,489
Niliuliziaga Tandika pale wanaiuza 450 hopeful itashuka had 400 unachukuaMkuu juzi nilikua kwenye kipub goba nikaiona kodtec nikaipenda sana sasa nataka kujua yafuatayo
1.je kuna nzuri zaidi ya hii?
2.ni aina gani hii na je nzuri yake ni ipi?
3.bei zake zipoje? Nitakushkuru mkuu
View attachment 2092304
Ukienda kariakoo Msimbazi pale kwenye store yao wana uza hadi 350kNiliuliziaga Tandika pale wanaiuza 450 hopeful itashuka had 400 unachukua
Poa mkuu hiyo 400k ipo j4 naenda ichukua kama upepo⁰Niliuliziaga Tandika pale wanaiuza 450 hopeful itashuka had 400 unachukua
Mrejesho muhimu mkuuPoa mkuu hiyo 400k ipo j4 naenda ichukua kama upepo⁰
Mkuu ni model gani?Hio hio ndio nzuri mkuu imekaa vizuri sana
BOSE! bei zao zimechangamka, uliichukua sh ngapi?Nitaendelea na hii old school yangu, mpaka ife ishindwe kutengenezeka..,[emoji847]
#longliveboseView attachment 2092867
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
2812Mkuu ni model gani?
hii labda niletewe zawadi ila kwa hela yangu bora ninunue kiwanja tuNitaendelea na hii old school yangu, mpaka ife ishindwe kutengenezeka..,[emoji847]
#longliveboseView attachment 2092867
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Mkuu,nilinunua pesa ya kawaida toka kwa mwanamama aliyekuwa anarudi kwao Uholanzi..2812
hii labda niletewe zawadi ila kwa hela yangu bora ninunue kiwanja tu
Nilinunua toka kwa expatriate aliyekuwa anarudi kwao.Miaka 5 sasa..around 600K..BOSE! bei zao zimechangamka, uliichukua sh ngapi?
Bei zake zimechangamka sana.Nilinunua toka kwa expatriate aliyekuwa anarudi kwao.Miaka 5 sasa..around 600K..
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Safi mkuu kama ulipata kitowngerMkuu,nilinunua pesa ya kawaida toka kwa mwanamama aliyekuwa anarudi kwao Uholanzi..
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Bei ya wine ya kawaida hiiSeems jamaa wamekuja Official Tanzania, sina data za ubora wao Ila kuwa makini tu sabufa zao ni 70k mpaka 90k hizo za 2 in 1,
Mkuu SonyShake 70 ina mziki wa maana?Yeah Clarity ipo, siwezi kuisemea sana kwa sababu alinitestia na manyimbo ya kibongo ya wasafi yale with some Nigerian pop!Simu yangu niliacha ndani ya gari parking so sikuwa na pairing device nikatumia ya muuzaji pale pale.
Ila its clarity is audible mpaka nilimwambia apunguze kidogo mchicha. Mi huwa sipendi mziki wenye mids kali, napenda Bass na highs ziwe juu kidogo na balanced.
Ila kwenye bass department that thing did an exceptional job! Japo nyimbo zilikuwa mbaya ile they sounded great. Haina Flat bass kama misabufa mingine ya kichina ile ya boombass tu! Nafikiri ndio maana wameweka speaker za aina 2 tofauti ku cover Lowest Bass Notes na Mid Bass notes! Kwahivyo unapata full dynamic range effects.
Range nzuri yenye mkito wa HiFi ni kuanzia Hz ngapi? Yani yenye mkito wa level za kama picha hapa chini,Sijawahi kuiskiiza mkuu hio ila as long as haifikii low end frequency za 20Hz-30Hz humo mziki utakuwa wa kawaida tu
Naomba link ya huo wimbo, make sijaupata.Basi humu vyote unavipata, kishindo cha kupasua kifua na Clarity. Mziki mnene kweli kweli na pia hata kwa atakaepita jirani na eneo mziki unapopigwa lazma atasogea aulize ni kitu gani kinatoa huo mziki?
Ukitaka kupima mziki wako kama uko pure sikiliza nyimbo ya KCI & Jojo - Don't leave me! Ile Base note ina hit kwa namna ya pekee sana na husikika kwenye kinu cha uhakika tu.
Huu mziki ulikuwa kwa uncle yangu mmoja. Rip Jafet Mshana.Range nzuri yenye mkito wa HiFi ni kuanzia Hz ngapi? Yani yenye mkito wa level za kama picha hapa chini,
Na hizo frequency/Hz nitazionea kwa wapi?
View attachment 2110102