Kodtec Speaker systems

2911 hyo nayo ipo bongo
 
Nimesoma maelezo mtandaoni wanainadi ina output ya 200w kila spika, yaani 200w X 5 halaf boofer pekee lina 1000w, si balaa hili[emoji23][emoji23][emoji23]. Nikipata feedback ya mmoja wa wamiliki huu mdude nauweka ndani. 470k bei yake kwa sasa
Mkuu ntaipataje hii? Pesa sio tatizo
 
Jaman naombeni kufahamu kuhusiana speaker kuwa na 1 ohm , 2ohm, 4 ohm na 8 ohm.
Na je kama factors zote zikiwa sawa mf. Zote ni 12",
RMS watts zote ni sawa,
Frequency ni sawa,
Na je ipi ohms Iko vizuri in terms of dynamic deep bass clarity?
Naombeni ufafanuzi tafadhali.
 
Kwenye picha, hii kodtec KT 2912 kanaonekana ni kadogo , Ila siku nmeenda kwenye store za kodtec dodoma wazee, huu mzigo ni mkubwa kinoma , kwanza walivyonionyesha niliikataa kwanza Ila nilipochek Kwa mbele ilivyokaa tofaut ndo nikakubali mzigo .
Ila hili goma kubwa kinoma in terms of subwoofer dimension size na linazizidi zile model nyingine kama 2812 na 2913,
Ila kwenye picha unaweza dhania ni ailipu au alitop ndogo Ila ni kubwa Sana kuzidi kodtec model Zake nyingine except 2911
 
Mkuu adi hao Dealers wanamix na copy/Duplicate
Hata hizi jezi za simba na Yanga dealer maarufu kabisa pale unakuta anamix
 
Nimesoma maelezo mtandaoni wanainadi ina output ya 200w kila spika, yaani 200w X 5 halaf boofer pekee lina 1000w, si balaa hili[emoji23][emoji23][emoji23]. Nikipata feedback ya mmoja wa wamiliki huu mdude nauweka ndani. 470k bei yake kwa sasa
MREJESHO:
Leo nilipita Kodtec stores za kariako kucheki kama hiyo system ya 2OOOw Lives up to its name.
Kiukweli Kodtec wameharibu reputation.

Kimsingi hii model ni ya kipuuzi mno sishauri mtu anunue.
 
MREJESHO:
Leo nilipita Kodtec stores za kariako kucheki kama hiyo system ya 2OOOw Lives up to its name.
Kiukweli Kodtec wameharibu reputation.

Kimsingi hii model ni ya kipuuzi mno sishauri mtu anunue.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] doooh imekuwaje tena?
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] doooh imekuwaje tena?
Mzee kwanza haina settings za ku regulate sauti
independently. Kuna EQ presets button ya rock,pop,jazz nk.

Bass haijai vyema ni almost imemezwa na mids za sorround speakers zile. Kwa bass lovers its a serious turn off. Inshort kelele ziko juu kuliko bass na ili uisikie bass walau kidogo ni labda u turn volume hadi 6O.

Niliomba remote yake niangalie huenda kuna button ya kujazia bass mle ila sikufanikiwa kuipewa. Better of hizi model za KT-2913 na KT-2812 zenye passive bass radiators for serious deep bass.

This Kodtec 2OOOw hometheatre is a serious joke mazee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…