Hahaha pole sana mwambaUnataka specification za Chinese subwoofer?
Mwenzio yalinikuta kwenye sea piano sp 912 nilipoona wameandika et subwoofer frequency response 20hz--200hz
Na satellite frequency response 150hz--20khz
Nikaona maisha ni Marais ,
Kudadek nilidownload equalizer ya sim inayoanzia 20hz mpaka 16khz
Nikaset vizuri daah mwanzon ilikua inajitaid inapiga deep bass kias flan ila sasaivi spika lake ukizidisha saut ikawa kubwa linaanza kutapika bass kama linabanja vile.. yaan ndo nilikoma kumwamin mchina daah
IPO bongo inafua 1800 wats continues powerWazee kuna power supply ya kodtec watts 120 , volts 12 mpya inauzwa kama unaiitaji nitext 0783715243
Bei ni 80k Iko good condition Bado ni mpya
Umetisha sana mkuu, nikiwa tayari nitakutafutaAu kama ukishindwa waweza jichanga taratibu ukaanza kununua spika Moja ya pioneer mf .ts w309d4 au 310d4 200k/= alafu amplifaya za deochestra au boschmann 300k/=, tweeter zako midi za kawaida za Sony mega bass
Na power supply Yako geton mambo yanakua mazuri,
Coz mi mwenyewe nilenda kununua kodtec kt 2912 nikakuta mdada anachat aan tu kumuuliza subwoofer niliyokupa ninaiitaji pale pale akaniropokea eti "hazipo zimeisha" wakati mi naiona kwenye Kona imefunikwa na box , nikamwangalia yule dada Tena nikaona Bado anachat nikaamua kutoka nikaona Ile model ya kt 2809 kalibu na mlango wao nikaiulizia akanambia ety "subwoofer zote hazipo zimeisha" yaan niliumia kichiz nikaenda kupumzika kwanza uwanjan kesho yake nikawaza upya kufikilia kununua vinu vya pioneer nilienda Kwa mafundi wa magari kuwauliza wakaniuliza nataka kufunga spika ngapi ? Nikawaambia nne , akasema ""nne?"" Nkasema ndio akaniuliza kwani una nyumba Yako au umepanga ? Nikawaambia nmpanga wakanambia nazingua, nitasababisha craki kwenye Kuta , ndo wakanishauri niweke mbili na hizo mbili nijiandae Kwa notes ya mwenye nyumba.
In shot mambo Yako ivi.
1. Power supply
2. Tweeter nne
3. Amplifier
4. (2)pioneer subwoofers ts w309d4
12inches (ikiwa chini ya bed)
5. Midi (hazijafuguliwa au kufungwa nasubilia box zake kutoka Kwa fundi)
Umetisha sana mkuu, nikiwa tayari nitakutafuta
na hiyo kodtec uliulizia duka gani kwa dodoma.
Uwanyooshe kina nani? Majirani? Halafu iweje then?Waungwana habari ya uzima? Mi Bado najikusanya taratibu kama hivi,
""Wazee Hio cylinder iliyolala hapo chini ni kisanga kingine"
Mziki wa hizi mashine Kila mtu anajiuliza ni woofer Gani natumia.
Ninazo spika tatu za design hii ndani ila nimefunga mbili tu Ili niwastahi majilan, ila nasubilia monoblock Amplifier Nije niwanyooshe vizuri nikifunga zote tatu
View attachment 2621287
Ni kweli mkuu Sisi huku ni ligi za music 🎵 hatuna utaniUwanyooshe kina nani? Majirani? Halafu iweje then?
Yaani unanunua mziki ili majirani wakukome!!
Nilifikiri unanunua mziki ili uenjoy wewe mwenyewe kusikiliza unachotaka kusikiliza.
Kweli tunatofautiana sana.
Vipi kuhusu JBL brand?Yeah Clarity ipo, siwezi kuisemea sana kwa sababu alinitestia na manyimbo ya kibongo ya wasafi yale with some Nigerian pop!Simu yangu niliacha ndani ya gari parking so sikuwa na pairing device nikatumia ya muuzaji pale pale.
Ila its clarity is audible mpaka nilimwambia apunguze kidogo mchicha. Mi huwa sipendi mziki wenye mids kali, napenda Bass na highs ziwe juu kidogo na balanced.
Ila kwenye bass department that thing did an exceptional job! Japo nyimbo zilikuwa mbaya ile they sounded great. Haina Flat bass kama misabufa mingine ya kichina ile ya boombass tu! Nafikiri ndio maana wameweka speaker za aina 2 tofauti ku cover Lowest Bass Notes na Mid Bass notes! Kwahivyo unapata full dynamic range effects.
Mnasikiliza nyimbo gani hizo zinazohitaji ligi?Ni kweli mkuu Sisi huku ni ligi za music [emoji444] hatuna utani
Mzee Subwoofer zote hizo unataka uharibu paa au? 😀 Hio woofer moja tu mziki wake ukiuset fresh ndani ni balaa zito.Waungwana habari ya uzima? Mi Bado najikusanya taratibu kama hivi,
""Wazee Hio cylinder iliyolala hapo chini ni kisanga kingine"
Mziki wa hizi mashine Kila mtu anajiuliza ni woofer Gani natumia.
Ninazo spika tatu za design hii ndani ila nimefunga mbili tu ila nasubilia monoblock amplifier Ili nibalance
View attachment 2621287
uiana, ujana mkuu,waache ikifika muda wataacha watatumia hata redio mkulima kusikiliza taarifa ya habari tu na ikiisha anazima, ukiweka mzikia anakuambia unanipigia kelele.Mnasikiliza nyimbo gani hizo zinazohitaji ligi?
Bila shaka mtakuwa wazee wa bongo fleva na hii miziki ya kina mboso na singeli.
Ukiwa kama mimi unawasikiliza kina Lizzy MacAlphine, Caleb Hearn, Avery Lynch, Blu Eyes, Loving Caliber, Halley Joele, Cigarettes after Sex, Leeland na kina Brandon Chase to mention the few,huwezi kuwa na attitude za ligi.
Unakaa kwenye kochi, with 2 good speakers in front of you and have a good Listening Session...kwa ajili yako wewe binafsi.
Mziki wa Pioneer ni mkubwa sana mkuu hilo halina ubishi. Inatoa Serious bass effects hio kitu naifahamu mzee. Ukiifunga vizuri na mid range na tweeters haina mpinzani. Upigaji wake ni mauaji. Uko wapi mkuu?Yaan Kuna jamaa ni dereva wa bas za iringa hua anapaki kalibu na kwangu huku dodoma, asa alikua akija anapiga ziki lake kuubwa la Sony xplod zile 1350w ila na Mimi siku nimenunua nmefunga usiku kucha .
asubui yake hakwenda kazin asa nikaliwasha mwanangu, yaan nilimshutua akiwa kwenye bas lake anafanya service na nilikua natest wimbo wa fire boy-jealous yaan Ile wimbo unaanza tu kwanza niliiskia watu wanaguna huko nje baadae nikaona anajileta kuangalia Nini Tena kitu Gani nmeweka alishangaa saana mpaka alijikuta ananiuliza maswali mengi mpaka anayarudiarudia.
Narudia Tena these pioneers subwoofers are fkng thumping crazy yaan uwez amini na mwonekano wake wa saani saani aseh kodtec wakasome
Both two are Total 800 RMS watts
Mi Niko dodoma bossMziki wa Pioneer ni mkubwa sana mkuu hilo halina ubishi. Inatoa Serious bass effects hio kitu naifahamu mzee. Ukiifunga vizuri na mid range na tweeters haina mpinzani. Upigaji wake ni mauaji. Uko wapi mkuu?
Mzee Subwoofer zote hizo unataka uharibu paa au? 😀 Hio woofer moja tu mziki wake ukiuset fresh ndani ni balaa zito.
Mkuu tafadhali hizo playlist zako Sina .Mnasikiliza nyimbo gani hizo zinazohitaji ligi?
Bila shaka mtakuwa wazee wa bongo fleva na hii miziki ya kina mboso na singeli.
Ukiwa kama mimi unawasikiliza kina Lizzy MacAlphine, Caleb Hearn, Avery Lynch, Blu Eyes, Loving Caliber, Halley Joele, Cigarettes after Sex, Leeland na kina Brandon Chase to mention the few,huwezi kuwa na attitude za ligi.
Unakaa kwenye kochi, with 2 good speakers in front of you and have a good Listening Session...kwa ajili yako wewe binafsi.
Powa powa mkuu karibu Sana👍Ntakuwepo huko weekend, ntakucheki😀