Kodtec Speaker systems

Basi kma ndo hivyo itakuwa ni option nzuri sana ukilinganisha na price range, yaani tuseme kwa laki 4 unapata mziki sound quality karibu wa 1m ni jambo zuri saNa
Yah, its the best bet for the money! Hio laki 4 ni bei ya Mlimani City ila Kariakoo Stores utaipata kwa 300K bila shaka!
 
Kuna mzigo mmoja unaitwa ALITOP,una spika mbili tu bei yake sio ya kutisha ni 180k-200k lakini hilo balaa lake noma toka siku hyo nikaacha kudharau sabufa[emoji23] maana nilikuwa nahisi wenye sabufa hawasikilizagi mziki wanasikiliza makelele[emoji23]
Hahahahahah sio AILIPU kweli hio 😂😂😂 najua kuna mchina mmoja anaitwa hivyo!
 
Mhhhh waweza tuma picha na model namba hapa??
Kuna mzigo mmoja unaitwa ALITOP,una spika mbili tu bei yake sio ya kutisha ni 180k-200k lakini hilo balaa lake noma toka siku hyo nikaacha kudharau sabufa[emoji23] maana nilikuwa nahisi wenye sabufa hawasikilizagi mziki wanasikiliza makelele[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…