Sambinyakwe kitololo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2022
- 2,419
- 2,940
Karibuππ Sina ujuzi mkuu, nilifikiri kilicho andikwa Kama Ni sahihi, inaonesha ili upate amplifier nzuri kuna hesabu zake, tofauti na zamchina
tunajali mambo ya copy right[emoji16]Watu mnapekua asee[emoji16]
maeneo ya msikitini karibu na kilihomeUko Moshi sehemu gani nikuletee amplifier ya kusukumia hizo spika
Amplifier unauza bei gani mkuu? Ni brand gani uliyo nayo? Uwezo wake upoje?Uko Moshi sehemu gani nikuletee amplifier ya kusukumia hizo spika
Hata ya kusuka ukitaka, bei kulingana na specs zakoAmplifier unauza bei gani mkuu? Ni brand gani uliyo nayo? Uwezo wake upoje?
Nahitaji ya kawaida tu. Medium , bei wastani kiasi gani?Hata ya kusuka ukitaka, bei kulingana na specs zako
Ya kawaida ndo ipi bossNahitaji ya kawaida tu. Medium , bei wastani kiasi gani?
Mid-range ndo wooferMusic system ambayo niliikubali sana na haina mfano, ni RADIOTEHNIKA kutoka USSR wakati huo,
Watu waliokwenda USSR wakati huo wengi walikuja nazo,
Sijawahi kuona sound system ya viwango kama ile mpaka leo hii.
Speaker zake zilikuwa kiboko kuanzia tweeter, midrange na woofer.
Wengine hatuja base sana kwenye haya masuala mkuu. Ila tunahitaji tu amplifier kwa ajili ya kusukuma mziki mkubwa. Labda wewe sasa ungeainisha uwezo wa Amp na bei yake inasaidia mtu kufanya maamuzi hasa yule asiye na uelewa mkubwa kuhusiana na hivi vyomboYa kawaida ndo ipi boss
Ya dukani au ya kusuka, ya nyumbani au kwenye magari
Yenye uwezo upi
Kuna za gari 75w Γ 4 + 300w kwa bass hii Ni laki tano na 80Wengine hatuja base sana kwenye haya masuala mkuu. Ila tunahitaji tu amplifier kwa ajili ya kusukuma mziki mkubwa. Labda wewe sasa ungeainisha uwezo wa Amp na bei yake inasaidia mtu kufanya maamuzi hasa yule asiye na uelewa mkubwa kuhusiana na hivi vyombo
Hiyo ya 250K inaweza kusukuma mpaka bass speaker ya Ohms ngapi mkuu?Kuna za gari 75w Γ 4 + 300w kwa bass hii Ni laki tano na 80
65w Γ 4 full bridgeable 250k tzs
Mkuu nitakutafuta panapo majaliwa.. Nahitaji sound nzuri sana home aisee, maandishi yako yamenitia njaa kwakweliAmplifier (boschman)
mixer (boschman)
Crossover (audiobank) 5 ways
4 Midi speakers (sony)
2 Tweeters
Power supply 400w
Speakers wires
RCA cables
4 gauge amplifier power wires
3 Pioneer speakers TS 309d4
3 enclosure box for sub
Budget ni Almost from 1.5m
Yes unaweza tumia kwenye system yoyote ya mziki
Mfano unaweza nunua receiver ya Digital audio decoder DTS Dolby Digital 5.1 Audio Decoder ili update sorround music system yako
HapanaMid-range ndo woofer
Woofer sio spika ya bass
Spika ya bass Ni subwoofer...watu wanachanganyaga
Kalibu saana kakaMkuu nitakutafuta panapo majaliwa.. Nahitaji sound nzuri sana home aisee, maandishi yako yamenitia njaa kwakweli
Unaweza weka mbili za 4ohms , hivo load ikawa 2ohmsHiyo ya 250K inaweza kusukuma mpaka bass speaker ya Ohms ngapi mkuu?
pitia makabrasha yako vizuri Nani amekwambia hizi kina seapiano, aboda zinaitwa sabufa ,Hapana
Speaker iliyokamilika inakuwa na
1) Tweeter
2) Medium range
3) woofer
Subwoofer hizi ni speaker za base ambazo ni ndogo kama jina linavyojieleza., kwenye home system
Speaker kubwa za base ndo zinaitwa woofer.
Mfano angalia hapo.View attachment 2737036
Sasa unabishana na Mrussi aliyetengeneza hiyo speaker niliyokuonyesha? Hiyo ina maelezo yake hapo kwenye speaker, kwa mpangilio niyokueleza mwanzo.Unaweza weka mbili za 4ohms , hivo load ikawa 2ohms
pitia makabrasha yako vizuri Nani amekwambia hizi kina seapiano, aboda zinaitwa sabufa ,
Hilo jina sijui limetoka wapi
Na hio picha uliotuma spika kubwa Ni mid-range yenyewe (woofer) inacheza frequency 50hz kupanda Hadi 3-4khz ya juu Ni high na juu yake Ni high zaidi
Mifano hai ni hiyoSasa unabishana na Mrussi aliyetengeneza hiyo speaker niliyokuonyesha? Hiyo ina maelezo yake hapo kwenye speaker, kwa mpangilio niyokueleza mwanzo.
Deep fry, Deep Sea, Δeep State, Deep Stick, Deep loveKwa wale Music enthusiasts wenzangu last Weekend katika kuzurura katika viunga vya M.City i came across duka la Kodtec. Hawa jamaa wanauza appliances zao mbali mbali pale zikiwemo Subwoofers.
Kishindo cha mziki wenye vipimo madhubuti ambacho sikukitegemea kilipenya katika ngoma zangu za masikio na Ilibidi nizame chap kuuliza jamaa wanioneshe hicho kitu kinachotoa huo mziki. Cha ajabu ilikuwa ni subwoofer box moja hivi with sleek design.
Ukaguzi uliendelea na kuona ni subwofeer box yenye bass speakers 3! 2 Deep bass 12" Speakers kushoto na kulia wakati mbele kuna 10" Mid bass (woofer)! Hii subwoofer iko accompanied na Speaker ndogo za kupiga mid and high frequencies ambazo zinafanikisha hii Kodtec iwe super clear sound system.
Tukija kwenye wattage hii system ni 300Watts RMS value! Utaona kwamba Peak Music Power Output ni obvious itakuwa around 1200w! The bass effects that come out of this subwoofer ni exceptional you hear both boomy and dynamic bass effortlessly sijui wametumia amplifier aina gani humu ila mziki una sound kama mziki wa gari kabisa πππ!
Kimsingi nilikuwa naona subwoofer za 2.1 Channel ni utopolo ila sio kwa Subwoofer za Kodtec wazee, naomba niombe radhi kwa wamiliki wote wa Speaker Systems za Kodtec!
View attachment 1698253
UPDATE: Hii speaker ina bass radiators 2 kushoto na kulia ambazo ndio speaker mbili za ubavuni. Mbele ndio kuna Active Bass Speaker.
Kazi ya Radiators ni ku enrich bass frequency iwe deep bass. Ina maana za ubavuni haziko powered ila zina resonate na mapigo ya active speaker hapo mbele ili kuzalisha ile deep bass.
Unaweza weka mbili za 4ohms , hivo load ikawa 2ohms