Kodtec Speaker systems

Kodtec Speaker systems

Tafuta Sony hifi system

JBL
Bose
Hapo kwenye sony nimewaheshimu kinoma

Nikiwa nipo around hivi mitaa karibu na home,... aisee gafla kilisikika kishindo heavy nikisema heavy naomba mnielewe tafadhali kikihemea kifuani kila nikiangalia nijue ni gari gani hilo lina aproach karibu yangu.


nimezoea kishindo cha hivi nakikuta mara nyingi kwenye magari.... Cha ajabu kadri ninavyosogea ndio kishindo kinavyo-ongezeka kuja kutaamaki sound linatokea bar moja hivi.


nikazuga zuga pale nachati na simu... muhudumu anauliza samahani kaka tukuhudumie kinywaji gani?... nikazuga kuna mtu namsubiri (mimi kiukweli si mnywaji kabisa wa pombe lakini nilijikuta nimeingia bar kwa kile kishindo heavy).

aisee mziki unahemea kifuani halafu huwezi amini sauti yenyewe ipo volume ndogo kabisa lakini hicho kishindo usipime ile dynamic sound and deep base anayoiongelea Extrovert ndio niliyoi experience pale.

Yaan sikutamani kutoka mle kwenye bar halafu ngoma zilikua zinalia zile za amapiano zenyewe za kwa madiba.

Mkito unataka kufanana kidogo na huo kwa picha sema ina woofer moja ya ziada ambayo haina tweeter yenyewe ina tundu la kupumulia tu jumla zipo 3
download%20(1).jpg
 
Hapo kwenye sony nimewaheshimu kinoma

Nikiwa nipo around hivi mitaa karibu na home aisee gafla ilisikika kishindo kikihemea kifuani kila nikiangalia hivi ni gari gani hilo( nimezoea kishindo cha hivi na kikuta kwenye magari hasa hiace na bajaj huku kitaa) cha ajabu kadri ninavyosogea ndio kishindo kinaongezeka kuja kutaamaki sound linatokea bar moja hivi nikazuga nachati na simu aisee mziki unahemea kifuani halafu huwezi amini sauti yenyewe ipo volume ndogo lakini hicho kishindo usipime ile dynamic sound and deep base anayoiongelea Extrovert ndio niliyoi experience pale yaan sikutamani kutoka mle kwenye bar halafu ngoma zilikua zile za amapiano zenyewe za kwa madiba.

Zinataka kufanana kidogo na hizo kwa picha sema ina woofer moja ya ziada ambayo haina tweeter yenyewe ina tundu la kupumulia tu jumla zipo 3 View attachment 2774199
Approximately inaenda Bei gani hii
 
Hapo kwenye sony nimewaheshimu kinoma

Nikiwa nipo around hivi mitaa karibu na home,... aisee gafla kilisikika kishindo heavy nikisema heavy naomba mnielewe tafadhali kikihemea kifuani kila nikiangalia nijue ni gari gani hilo lina aproach karibu yangu.


nimezoea kishindo cha hivi nakikuta mara nyingi kwenye magari.... Cha ajabu kadri ninavyosogea ndio kishindo kinavyo-ongezeka kuja kutaamaki sound linatokea bar moja hivi.


nikazuga zuga pale nachati na simu... muhudumu anauliza samahani kaka tukuhudumie kinywaji gani?... nikazuga kuna mtu namsubiri (mimi kiukweli si mnywaji kabisa wa pombe lakini nilijikuta nimeingia bar kwa kile kishindo heavy).

aisee mziki unahemea kifuani halafu huwezi amini sauti yenyewe ipo volume ndogo kabisa lakini hicho kishindo usipime ile dynamic sound and deep base anayoiongelea Extrovert ndio niliyoi experience pale.

Yaan sikutamani kutoka mle kwenye bar halafu ngoma zilikua zinalia zile za amapiano zenyewe za kwa madiba.

Mkito unataka kufanana kidogo na huo kwa picha sema ina woofer moja ya ziada ambayo haina tweeter yenyewe ina tundu la kupumulia tu jumla zipo 3 View attachment 2774199
Hio ni Sony Shake Series ile. Ni balaa zito inagonga kinoma😀
 
Back
Top Bottom