Sambinyakwe kitololo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2022
- 2,419
- 2,940
Mkuu uko serious kweli π Yani subwoofer Ni spika ndogo ya bass??ππ€ Em pitia makabrasha yako vizuriHapana
Speaker iliyokamilika inakuwa na
1) Tweeter
2) Medium range
3) woofer
Subwoofer hizi ni speaker za base ambazo ni ndogo kama jina linavyojieleza., kwenye home system
Speaker kubwa za base ndo zinaitwa woofer.
Mfano angalia hapo.View attachment 2737036
Kachukulia kama neno lilivyo yaani 'sub'Mkuu uko serious kweli π Yani subwoofer Ni spika ndogo ya bass??ππ€ Em pitia makabrasha yako vizuri
..18inch sub 2000w 4000w peak nayo unasema Ni sub ndogo
Bei gani hizo mkuuHizo za Google ndio hizo hizo nilizonazo.
Unataka uone sebuleni kwangu ili iweje?
Naombeni mnionyeshe hata kwa picha tu hizo spika za gari zinazofungwa kwenye magari, maana sio kwa mkito huoJbl kwenye sound za magari hayupo hata
Hilo litakuwa Kenwood 3000 au kina pioneer
Kama Tsh 2,500,000 hivi (2.5 mil)Bei gani hizo mkuu
Nahitaji hii splitter mkuu kwa dar ni bei gani mana huku mikoani hazipo( Arusha)Hii setting Iko ivi
From my any output bluetooth source eg phone ,au tv nk.
(Inaunga Kwa kutumia audio cable splitter (naiita female jack splitter) kwenda kwenye Bluetooth multifunctional receiver na kodtec kt 2913 subwoofer. At the same time. Na sauti inasambaa kote kwenye kale kasplitter in the same strength bila kupungua nguvu yoyote.View attachment 2308659
Ingia kikuu zipo bossNahitaji hii splitter mkuu kwa dar ni bei gani mana huku mikoani hazipo( Arusha)
Sawa mkuu wewe ulinunua huko na bei ni tshs ngapi?Ingia kikuu zipo boss
Sawa mkuuKama Tsh 2,500,000 hivi (2.5 mil)
10,000/Sawa mkuu wewe ulinunua huko na bei ni tshs ngapi?
Tafuta Sony hifi systemNataka Mziki mzuri.... any recommendations?
Budget.. niandae kias gani exactly.Tafuta Sony hifi system
JBL
Bose
Ulitumia gharama kias gan mkuu kutengeza hiy systemAu kama ukishindwa waweza jichanga taratibu ukaanza kununua spika Moja ya pioneer mf .ts w309d4 au 310d4 200k/= alafu amplifaya za deochestra au boschmann 300k/=, tweeter zako midi za kawaida za Sony mega bass
Na power supply Yako geton mambo yanakua mazuri,
Coz mi mwenyewe nilenda kununua kodtec kt 2912 nikakuta mdada anachat aan tu kumuuliza subwoofer niliyokupa ninaiitaji pale pale akaniropokea eti "hazipo zimeisha" wakati mi naiona kwenye Kona imefunikwa na box , nikamwangalia yule dada Tena nikaona Bado anachat nikaamua kutoka nikaona Ile model ya kt 2809 kalibu na mlango wao nikaiulizia akanambia ety "subwoofer zote hazipo zimeisha" yaan niliumia kichiz nikaenda kupumzika kwanza uwanjan kesho yake nikawaza upya kufikilia kununua vinu vya pioneer nilienda Kwa mafundi wa magari kuwauliza wakaniuliza nataka kufunga spika ngapi ? Nikawaambia nne , akasema ""nne?"" Nkasema ndio akaniuliza kwani una nyumba Yako au umepanga ? Nikawaambia nmpanga wakanambia nazingua, nitasababisha craki kwenye Kuta , ndo wakanishauri niweke mbili na hizo mbili nijiandae Kwa notes ya mwenye nyumba.
In shot mambo Yako ivi.
1. Power supply
2. Tweeter nne
3. Amplifier
4. (2)pioneer subwoofers ts w309d4
12inches (ikiwa chini ya bed)
5. Midi (hazijafuguliwa au kufungwa nasubilia box zake kutoka Kwa fundi)
Ulitumia garama kias gan mkuu na ukipendezwa niorozeshee na vifaa apa mkuuMpwa nitakuja kuweka kijiwe kwako..πππ
Mkuu niliamua kuchukua tu SONY SOUND BAR 1000WTSUlitumia garama kias gan mkuu na ukipendezwa niorozeshee na vifaa apa mkuu
Hii ilikuwa inauzwa kipind flan vp bado ipohpo sound ni nzuri jpo wana system kali zaidi ya hyo kwnye sound View attachment 2597223
Shi ngap unaiuzabado ipo
kodtec nishaitoa, Niko na hyo mizigoView attachment 2770257