Yale ma Sony yenye kichwa kama pump za kuvutia maji mtoni na speaker za mataa taa kama trafic lights sijawahi kuyahusudu kabisa.kwani zile sony za speaker kubwa mbili nazo si zina huu umama[emoji3][emoji3][emoji3].
mataa kama yote.
mimi kiukweli napenda vitu, serious hata kwa muonekano.
Ulivyoelezea utafikiri DJ😀😀Kwa wale Music enthusiasts wenzangu last Weekend katika kuzurura katika viunga vya M.City i came across duka la Kodtec. Hawa jamaa wanauza appliances zao mbali mbali pale zikiwemo Subwoofers.
Kishindo cha mziki wenye vipimo madhubuti ambacho sikukitegemea kilipenya katika ngoma zangu za masikio na Ilibidi nizame chap kuuliza jamaa wanioneshe hicho kitu kinachotoa huo mziki. Cha ajabu ilikuwa ni subwoofer box moja hivi with sleek design.
Ukaguzi uliendelea na kuona ni subwofeer box yenye bass speakers 3! 2 Deep bass 12" Speakers kushoto na kulia wakati mbele kuna 10" Mid bass (woofer)! Hii subwoofer iko accompanied na Speaker ndogo za kupiga mid and high frequencies ambazo zinafanikisha hii Kodtec iwe super clear sound system.
Tukija kwenye wattage hii system ni 300Watts RMS value! Utaona kwamba Peak Music Power Output ni obvious itakuwa around 1200w! The bass effects that come out of this subwoofer ni exceptional you hear both boomy and dynamic bass effortlessly sijui wametumia amplifier aina gani humu ila mziki una sound kama mziki wa gari kabisa 😁😁😁!
Kimsingi nilikuwa naona subwoofer za 2.1 Channel ni utopolo ila sio kwa Subwoofer za Kodtec wazee, naomba niombe radhi kwa wamiliki wote wa Speaker Systems za Kodtec!
View attachment 1698253
Am 100%sure hizo za pembeni ni passive radiator ...sio spika ..spika ni moja tu hio ya mbeleKwa wale Music enthusiasts wenzangu last Weekend katika kuzurura katika viunga vya M.City i came across duka la Kodtec. Hawa jamaa wanauza appliances zao mbali mbali pale zikiwemo Subwoofers.
Kishindo cha mziki wenye vipimo madhubuti ambacho sikukitegemea kilipenya katika ngoma zangu za masikio na Ilibidi nizame chap kuuliza jamaa wanioneshe hicho kitu kinachotoa huo mziki. Cha ajabu ilikuwa ni subwoofer box moja hivi with sleek design.
Ukaguzi uliendelea na kuona ni subwofeer box yenye bass speakers 3! 2 Deep bass 12" Speakers kushoto na kulia wakati mbele kuna 10" Mid bass (woofer)! Hii subwoofer iko accompanied na Speaker ndogo za kupiga mid and high frequencies ambazo zinafanikisha hii Kodtec iwe super clear sound system.
Tukija kwenye wattage hii system ni 300Watts RMS value! Utaona kwamba Peak Music Power Output ni obvious itakuwa around 1200w! The bass effects that come out of this subwoofer ni exceptional you hear both boomy and dynamic bass effortlessly sijui wametumia amplifier aina gani humu ila mziki una sound kama mziki wa gari kabisa 😁😁😁!
Kimsingi nilikuwa naona subwoofer za 2.1 Channel ni utopolo ila sio kwa Subwoofer za Kodtec wazee, naomba niombe radhi kwa wamiliki wote wa Speaker Systems za Kodtec!
View attachment 1698253
Mkuu hapo uli mwelewaje?Am 100%sure hizo za pembeni ni passive radiator ...sio spika ..spika ni moja tu hio ya mbele
Iko kama svs ....with that design naona wako serious itakuwa vizuri..achana na sub zenye mataa kibao kama disco totoKweli yaani hyo maeurembo urembo na design sipendagi kufaa
Hyo kodtech imekaa kikazi with nice look, so yawezekana ikawa inatwanga haswaa
Kwan alifungua ndani akaona hizo spika tatu? Kama haina sehemu pa kupumulia hizo ni passive radiator na sio spikaMkuu hapo uli mwelewaje?
Ukaguzi uliendelea na kuona ni subwofeer box yenye bass speakers 3! 2 Deep bass 12" Speakers kushoto na kulia wakati mbele kuna 10" Mid bass (woofer)! Hii subwoofer iko
Kwahiyo kwa ndani itakuwa hivi?Kwan alifungua ndani akaona hizo spika tatu? Kama haina sehemu pa kupumulia hizo ni passive radiator na sio spika
Hio spika 10inch kumi mbele ndo ina waya hizo 12inch za pembeni ni passive radiator...ni sealed hioKwahiyo kwa ndani itakuwa hivi?View attachment 1702452
Hiyo sample naifahamu niliwahi kutana nayo sehemu hata mimi ilbidi niulize ni kifaa gani hicho ndio nikaonyeshwa hiyo chombo kiukweli ina soudn vizur sana na bei yake ndio hiyo hiyo 450kKariakoo bei itakuwa imepoa kidogo maana kule walianza 500K mwisho 450K ila kariakoo najua itakuwa 300K!
Kaka huo mziki wa kwenda ukiuskia utaleta mrejesho humu!
Mzee ile chuma ina speaker ubavu wa kushoto..Ubavu wa kulia na front facing Speaker. Kodtec wamefanya mziki kweli mle sina budi kuwapa sifa stahiki.Kwahiyo kwa ndani itakuwa hivi?View attachment 1702452
Kwa midundo hapa jamaa walifeli by 100%! Mi pia redio ikishakuwa na mitaa taa namna hiyo naona utopolo tu!View attachment 1702633hizi ndo siwezi hata mnunulia mtu li kitu la ajabu lina mataa taa😟
Basi humu vyote unavipata, kishindo cha kupasua kifua na Clarity. Mziki mnene kweli kweli na pia hata kwa atakaepita jirani na eneo mziki unapopigwa lazma atasogea aulize ni kitu gani kinatoa huo mziki?Kwangu mziki hujawahi kamilika bila kuwa na kishindo tena kile unasikilizia kwnye kifua
Basi humu vyote unavipata, kishindo cha kupasua kifua na Clarity. Mziki mnene kweli kweli na pia hata kwa atakaepita jirani na eneo mziki unapopigwa lazma atasogea aulize ni kitu gani kinatoa huo mziki?
Ukitaka kupima mziki wako kama uko pure sikiliza nyimbo ya KCI & Jojo - Don't leave me! Ile Base note ina hit kwa namna ya pekee sana na husikika kwenye kinu cha uhakika tu.