Kodtec Speaker systems

Kodtec Speaker systems

kwani zile sony za speaker kubwa mbili nazo si zina huu umama[emoji3][emoji3][emoji3].

mataa kama yote.
mimi kiukweli napenda vitu, serious hata kwa muonekano.
Yale ma Sony yenye kichwa kama pump za kuvutia maji mtoni na speaker za mataa taa kama trafic lights sijawahi kuyahusudu kabisa.

Wanasema yana mziki wa nguvu ila siwezi hangaika na Redio kama Toys! Mi pia ni mfuasi wa serious looking systems.
 
Kwa wale Music enthusiasts wenzangu last Weekend katika kuzurura katika viunga vya M.City i came across duka la Kodtec. Hawa jamaa wanauza appliances zao mbali mbali pale zikiwemo Subwoofers.

Kishindo cha mziki wenye vipimo madhubuti ambacho sikukitegemea kilipenya katika ngoma zangu za masikio na Ilibidi nizame chap kuuliza jamaa wanioneshe hicho kitu kinachotoa huo mziki. Cha ajabu ilikuwa ni subwoofer box moja hivi with sleek design.

Ukaguzi uliendelea na kuona ni subwofeer box yenye bass speakers 3! 2 Deep bass 12" Speakers kushoto na kulia wakati mbele kuna 10" Mid bass (woofer)! Hii subwoofer iko accompanied na Speaker ndogo za kupiga mid and high frequencies ambazo zinafanikisha hii Kodtec iwe super clear sound system.

Tukija kwenye wattage hii system ni 300Watts RMS value! Utaona kwamba Peak Music Power Output ni obvious itakuwa around 1200w! The bass effects that come out of this subwoofer ni exceptional you hear both boomy and dynamic bass effortlessly sijui wametumia amplifier aina gani humu ila mziki una sound kama mziki wa gari kabisa 😁😁😁!

Kimsingi nilikuwa naona subwoofer za 2.1 Channel ni utopolo ila sio kwa Subwoofer za Kodtec wazee, naomba niombe radhi kwa wamiliki wote wa Speaker Systems za Kodtec!

View attachment 1698253
Ulivyoelezea utafikiri DJ😀😀
 
Kwa wale Music enthusiasts wenzangu last Weekend katika kuzurura katika viunga vya M.City i came across duka la Kodtec. Hawa jamaa wanauza appliances zao mbali mbali pale zikiwemo Subwoofers.

Kishindo cha mziki wenye vipimo madhubuti ambacho sikukitegemea kilipenya katika ngoma zangu za masikio na Ilibidi nizame chap kuuliza jamaa wanioneshe hicho kitu kinachotoa huo mziki. Cha ajabu ilikuwa ni subwoofer box moja hivi with sleek design.

Ukaguzi uliendelea na kuona ni subwofeer box yenye bass speakers 3! 2 Deep bass 12" Speakers kushoto na kulia wakati mbele kuna 10" Mid bass (woofer)! Hii subwoofer iko accompanied na Speaker ndogo za kupiga mid and high frequencies ambazo zinafanikisha hii Kodtec iwe super clear sound system.

Tukija kwenye wattage hii system ni 300Watts RMS value! Utaona kwamba Peak Music Power Output ni obvious itakuwa around 1200w! The bass effects that come out of this subwoofer ni exceptional you hear both boomy and dynamic bass effortlessly sijui wametumia amplifier aina gani humu ila mziki una sound kama mziki wa gari kabisa 😁😁😁!

Kimsingi nilikuwa naona subwoofer za 2.1 Channel ni utopolo ila sio kwa Subwoofer za Kodtec wazee, naomba niombe radhi kwa wamiliki wote wa Speaker Systems za Kodtec!

View attachment 1698253
Am 100%sure hizo za pembeni ni passive radiator ...sio spika ..spika ni moja tu hio ya mbele
 
Kwan alifungua ndani akaona hizo spika tatu? Kama haina sehemu pa kupumulia hizo ni passive radiator na sio spika
Kwahiyo kwa ndani itakuwa hivi?
Passive_radiator_enclosure.svg.jpg
 
Kariakoo bei itakuwa imepoa kidogo maana kule walianza 500K mwisho 450K ila kariakoo najua itakuwa 300K!

Kaka huo mziki wa kwenda ukiuskia utaleta mrejesho humu!
Hiyo sample naifahamu niliwahi kutana nayo sehemu hata mimi ilbidi niulize ni kifaa gani hicho ndio nikaonyeshwa hiyo chombo kiukweli ina soudn vizur sana na bei yake ndio hiyo hiyo 450k
 
Kwangu mziki hujawahi kamilika bila kuwa na kishindo tena kile unasikilizia kwnye kifua
Basi humu vyote unavipata, kishindo cha kupasua kifua na Clarity. Mziki mnene kweli kweli na pia hata kwa atakaepita jirani na eneo mziki unapopigwa lazma atasogea aulize ni kitu gani kinatoa huo mziki?

Ukitaka kupima mziki wako kama uko pure sikiliza nyimbo ya KCI & Jojo - Don't leave me! Ile Base note ina hit kwa namna ya pekee sana na husikika kwenye kinu cha uhakika tu.
 
Mwanangu umenipa moto mpaka nawaza nikavamie benki nisepe na minoti nikaunyake huo mzigo
Basi humu vyote unavipata, kishindo cha kupasua kifua na Clarity. Mziki mnene kweli kweli na pia hata kwa atakaepita jirani na eneo mziki unapopigwa lazma atasogea aulize ni kitu gani kinatoa huo mziki?

Ukitaka kupima mziki wako kama uko pure sikiliza nyimbo ya KCI & Jojo - Don't leave me! Ile Base note ina hit kwa namna ya pekee sana na husikika kwenye kinu cha uhakika tu.
 
Back
Top Bottom