Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji106]50Hz
usikute ni wicalu mzeeKuna sehemu nimeenda nikakuta mziki umefungwa unapiga vizuri kinyama..spika imeandika something waluca au waluka..sasa nimetafuta hii brand mtandaoni siioni.
Hii brand mnaijua?
WICALU mtataKuna sehemu nimeenda nikakuta mziki umefungwa unapiga vizuri kinyama..spika imeandika something waluca au waluka..sasa nimetafuta hii brand mtandaoni siioni.
Hii brand mnaijua?
Naomba ufunguke kidogo kuhusu hili..WICALU mtata
Naomba uelezee kidogo kuhusu hili..usikute ni wicalu mzee
Wicalu electronics laboratory Iringa yupo hapa jf pia wicalumtataNaomba ufunguke kidogo kuhusu hili..
Jamaa kumbe anasuka mwenyewe..basi anajua..Wicalu electronics laboratory Iringa yupo hapa jf pia wicalumtata
je ni kweli imeandikwa WICALU??Jamaa kumbe anasuka mwenyewe..basi anajua..
Kinu kilikuwa kinapiga fresh sana hadi nikawa sitaku kuondoka.
Ndio imeandikwa hivyo..mimi nahisi nimekosea kuandika..lakini ni hivyo nimecheki facebook nikajiridhisha ndo spika zake.je ni kweli imeandikwa WICALU??
jamaa anasuka vinu vya maana mzee yaani professionally
ulienda shishi food nini??[emoji16]Ndio imeandikwa hivyo..mimi nahisi nimekosea kuandika..lakini ni hivyo nimecheki facebook nikajiridhisha ndo spika zake.
model gani hii mkuu na sh ngapiHii hapa mkuu narudi kusaka hela nitafute huyu mnyama aiseee hili seapiano natuma huko sina mziki nina kelele tu ndani kumbe View attachment 2317996
mzee wa kupamba[emoji16][emoji16]Nahisi Equalizer bado hujaipata nzuri. Tafta kitu inaitwa comet player. Hii player naitumiaga kusikilizia miziki iko na very powerfull equalizer. Download chap ni 1OMB tu.
Ukitaka kupata superclean sound kama ya Sony Xplod ya gari au Pioneer ile mikito ya gari tumia hio player. Utakuja kunishukuru.
wakuu nisaidieni ntapata wapi kodtec subwoofer 2913 au 2812 maana nimewachek insta wameambia kwa sasa hawana brand hizo.. je kuna maduka tofauti na haya wanauza hizi model.. nipo dodoma
Kapicha Boss au model number tupite googleSahizi hauna ujanja maana hilo toleo halitoki tena. Nunua Rising tower speakers wanatumia same tech kama ya kwenye hizo Kodtec ina. Mziki mzuri sana