KOFFI Olomide ajibu swali endapo kesho atashikiriki kufanya usafi dar es salaam

KOFFI Olomide ajibu swali endapo kesho atashikiriki kufanya usafi dar es salaam

falcon mombasa

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2015
Posts
9,189
Reaction score
9,299
Muda huu yuko live clouds amesema yeye anawasaidizi wake hivyo wao wata muwakilisha bali yeye atafanya kile kilicho kwenye hadhi yake tuu. My take majibu haya pia yawafikie wale watu wa ccm wanashadadia lowasa kufanya usafi hadharani kwamba sio lazima mumuone lowasa bali hata sisi wawakilishi wake tutamuwakilisha,lowasa atafanya yale yaliyo kwenye hadhi yake
 
Muda huu yuko live clouds amesema yeye anawasaidizi wake hivyo wao wata muwakilisha bali yeye atafanya kile kilicho kwenye hadhi yake tuu. My take majibu haya pia yawafikie wale watu wa ccm wanashadadia lowasa kufanya usafi hadharani kwamba sio lazima mumuone lowasa bali hata sisi wawakilishi wake tutamuwakilisha,lowasa atafanya yale yaliyo kwenye hadhi yake

Nakuona NYUMBU FC fan katika ubora wako #HapaKaziTuu 9December
 
Mbona alipopanda daladala au alipotembelea mama ntilie hamkumwakilisha nyinyi Nyumbu
 
...F.a.l.a nini!..hili nalo la kulianzishia thread?
..mbaff!
 
Alitembea Mpaka kwa mama ntilie aka panda na daladala yote hayo ni kusikiliza kero za wananchi
 
Mumwambie na baba Mwanaasha na yeye afanye usafi, au mnamuogopa?
 
Mzee Mwanakijiji umekamata kwenyewe.Nadhani Mh.km amerudi ktk hii safu basi hii aiwekee note,ni extract muhimu.Serikali hadi leo bado wapo wanjisuasua kwa copywrites za wasanii tuu hawajui hata ktk patent kunaweza watoa wabongo kibao,kwani mtu km analowazo jipya na zuri akilewekewa patent analiuza au kukopea nalo na kuweza fanya kazi kwa kipindi fulani ambacho atakuwa amerudisha gharama zake na ndio sasa fungulia mbwa ianze ili kuleta upinzani.
Lakini leo hii hata jamaa wa chai maharage enzi zile,au chakula cha waathirika Arusha,Au mchoraji wa leo anaweza fikisha proposal yake bank leo ya kuomba mkopo kwa ajili ya wazo lake kesho akakuta hilo wazo limeshafanyiwa kazi na tajiri moja nguvu za kutisha.
Mzee mwanakijiji hii itapiga bao si utalii peke yake bali kila sector.Patakuwepo mfumuko wa mawazo na ubunifu wa kila nyanja ambao utaleta mafanikio makubwa.Mtaji wa kila raia utakuwa akili yake,na mafanikio ya makampuni yatakuwa mitaji yao.

What is Hadhi katika utu wa mtu??? Mleta mada inadhihirisha Elimu yako na ujinga ulio nao , Ego is inversely proportional to status.
 
Back
Top Bottom