Safi sana.. Kidogo wamuadabishe , alichofanya ni kitendo cha udhalilishaji na uvunjaji wa haki ulio wazi wazi.. Haijalishi kama mkata mauno ndo mwenye makosa ila koffi kazingua...
Mwanamuziki mashuhuri kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amekamatwa akiwa nyumbani kwake mjini Kinshasa.
Mwandishi wa BBC Poly Muzalia anasema mwanamuziki huyo amekamatwa kwa agizo la afisi ya mwendesha mashtaka.
Olomide alitimuliwa kutoka nchini Kenya baada ya video kuonekana kuonesha akimpiga teke mchezaji ngoma wa kike katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta mapema asubuhi baada yake kuwasili.
Alipangiwa kutumbuiza mashabiki wake Bomas of Kenya siku ya Jumamosi lakini tamasha hiyo ikaahirishwa.
Alikamatwa Ijumaa usiku na maafisa wa polisi wa Kenya na siku iliyofuata asubuhi akaingizwa kwenye ndege na kurejeshwa Kinshasa.
Wewe hujui watu maarufu ni kioo cha jamii..?Anakamatwa kwa sababu ni maarufu tu, huku mitaani watu wanapiga wake zao kama mabondia na hakuna chochote, Ila kile kiteke cha koffi kinaonekana nongwa, umaarufu wake umemponza!
Wanaume tumeumbwa..matesoangepigwa mwanaume sidhani kama yangetokea haya yote, usawa wa me na ke hautatokea
Hii ni haki yake na lazima ajifunze ustaarabu, ule ubabe wa usio na tija wenzake waliacha zamaani yeye ndio leo anaufanya. Tena hiyo zamani hawakupigwa wanawake unatafuta mbabe mwenzio halafu unalianzisha, eti yeye anapigana na mwanamke!!? Ndio tumuone mbabe!!!?? Kupitia fursa hii ningewaomba wale waliotaka kumualika huyu jamaa waachane nae (Efm?!).Safi sana.. Kidogo wamuadabishe , alichofanya ni kitendo cha udhalilishaji na uvunjaji wa haki ulio wazi wazi.. Haijalishi kama mkata mauno ndo mwenye makosa ila koffi kazingua...
huyo mzee bora kazoea na hiyo tabia yake wacha wamnyooshe tu ajifunzeView attachment 371104
Mwanamuziki mashuhuri kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amekamatwa akiwa nyumbani kwake mjini Kinshasa.
Mwanamuziki huyo amekamatwa kwa agizo la afisi ya mwendesha mashtaka.
Olomide alitimuliwa kutoka nchini Kenya baada ya video kuonekana kuonesha akimpiga teke mchezaji ngoma wa kike katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta mapema asubuhi baada yake kuwasili.
View attachment 371106
Alipangiwa kutumbuiza mashabiki wake Bomas of Kenya siku ya Jumamosi lakini tamasha hiyo ikaahirishwa.
Alikamatwa Ijumaa usiku na maafisa wa polisi wa Kenya na siku iliyofuata asubuhi akaingizwa kwenye ndege na kurejeshwa Kinshasa.
Kweli kabisa, kama kenya wamemkazia, kongo wamemkazi niliskia na zambia wamekaza, sisi watanzania tutajichoresha tuHii ni haki yake na lazima ajifunze ustaarabu, ule ubabe wa usio na tija wenzake waliacha zamaani yeye ndio leo anaufanya. Tena hiyo zamani hawakupigwa wanawake unatafuta mbabe mwenzio halafu unalianzisha, eti yeye anapigana na mwanamke!!? Ndio tumuone mbabe!!!?? Kupitia fursa hii ningewaomba wale waliotaka kumualika huyu jamaa waachane nae (Efm?!).
Paris ana RB kwa kesi ya kumbaka dancer wake wa kike hawezi kwenda huko achana na magazeti ya udaku hayoAmekamatwa lini mbona yupo Paris na ameomba radhi kwa hlo japo amesema hakua amekusudia
Haya magazeti ya kufungia maandazi usije ukakaa ukayaamini kila wakiandikacho.Amekamatwa lini mbona yupo Paris na ameomba radhi kwa hlo japo amesema hakua amekusudia
Amekamatwa lini mbona yupo Paris na ameomba radhi kwa hlo japo amesema hakua amekusudia